Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

That not my concern pimbi ww,umekula?
Wewe endelea kuomba chakula kwa wapita njia. Naona umejihami na juala ya blue yenye utakuwa unawekea vyakula vya msaada hapo kando yako.

1741723387739.jpeg
 
Teargas was a student in this pic and college educated fellas understand well only Primary school drop outs don’t get it..The question is the college afterlife yake compared to yours . And I took a pic of an old Portland photo taken using a disposable camera from 7-11 store ( you know those?), so excuse the quality . Now back at ya!.. wewe ulikuwa omba omba US , no wonder you lasted a short time. Ulishikwa ukawa deported ..🤪🤣🤣
downloadfile-146.png
downloadfile-236.jpg
 
Seems like you losers need to be given serious lessons on how to dress up..
can you post your picture in a suit so that we know what we are talking about here? Unaeza kuwa unaropokwa hapa na huna hata suti
Which suite? Ushaiona baboon na suite? Huyo Mwambie ukuonyeshe picha akiwa na viraka, atazipost hapa in their numbers.
 
Tanzania is now exporting omba omba to the USA 😄😄
View attachment 3267241
Hii tabia yao ya omba omba wanaharibia nayo East Africa jina. Kwanza Ebu ona viatu, I’m sure those were white shoes that a Good Samaritan gave him, but because huwa haogi viatu vimechange from white to “I’m not sure of the color “. Viatu pia ni kubwa kwake.

Hapo kwa mkono Naona jamaa kamebeba lighter na bangi, I’m sure this guy is a drug trafficker and a beggar.
 
Yani wewe mbwa pia unatia neno.? 🤣🤣🤣 Kaa kimya fala wewe.
Na hii ubabe yoote nilikuwa nangojea utume picha ukiwa umevalia suti, kumbe huna zaidi ya kupiga domo... kukosoa watu hapa kama the keyboard warrior that you are.. nonsense!
 
Hapa bongo tumeanza kutengeneza hizo risasi na light weapons toka 1970s pale Morogoro. Sasa hivi tuko kwenye missiles na milipuko mikubwa. RPG na makombora ya kutosha yapo pale.

Na ubora wa risasi za Moro unajulikana kwa M23 ile battle ya FIB chini ya Gen mwaki...
Huyu chizi anafikiri lile tishio la kuweka vikwazo Kwa nchi nane duniani Kwa kushirikiana na Korea ya kaskazini kijeshi Tanzania tuliingia burebure?
 
Kuna Aston Martin ilikua inaenda Zambia, pia hio mlisema ilikua yenu ju ilionekana ikiendeshwa bongoslum. 🤣 🤣 Tumewazoea kupost uongo huku na magari za transit.
Na nyie si mlikuwa top two huku mnajiita non NATO ally ?
 
Sijui tunakwama wapi kwenye mwendokasi,kila napoona jinsi sekta binafsi inavyojipinda kuwekeza kwenye mabasi mazuri ya kusafiria ila huku kwenye upande wa pili ni majanga
Mwendokasi ni jibu tosha la aina ya serikali tulionayo. They don't care.
Ni chawaa pekee ( mkazi wa Dar es Salaam anayetumia BRT anaweza sema mitano tena)

Wew panda mwendokasi halafu sema "ila hii serikali" Nina uhakika kila abiria atasema yake jinsi ule usafiri ulivyo mateso
Na kibaya zaidi serikali inajibu uongo, itaongeza mabasi mwaka wa pili sasa. Hakuna hata bus moja. Mwezi huu msigwa alisema wataleta mabasi ( wako kimya). Hawataki kuruhusu watu hata binafsi wawekeze.
Sijui ni wakubwa gan hao wa mwendokasi hawaguswi? Wala hawatetereki
 
Back
Top Bottom