BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Kura yangu ushapata
 
hawa HKL , HGK , KLF N.K wasoma mofimu na mufekane war wasijilinganishe na vichwa vya PCB ,PCM NA PGM wataumia[emoji23] [emoji23] [emoji23]

haya maajabu sana mtu ana kariri historia ya sayansi eti nae anajiita kipanga

miaka nenda rudi hajawahi fanya/gundua lolote/chochote cha maana zaidi ya kukariri hooks law, newtone law et anajiita kipanga pumbavu sana
 
Yaani kura yako ni tamu kama Kamasutra vile. You always got my back... I got yours too. Adui yako huwa ni adui yangu regardless what.

Kura yako niliitegemea sana.

One love swry lady.
[emoji123][emoji123][emoji123] kura yangu ulijua toka kitambo ni yako hakuna namna [emoji177]
 
Ahahaha!! Promota unaijua kazi yako vizuri sana... Kama Don King vile...!

Kwa ninavyofahamu hakuna engineer anaewaza ujinga kama huyu hapa...!View attachment 827673
Huyu jamaa ni mtoto kabisa au anaweza kuwa chizi mkuu nakushauri achana nae hastahili hata kidogo kubishana na wewe........unajishushia hadhi yako tu kubishana nae we ni mtu mkubwa sana
 
Ahahaha!! Usinchekeshe bhana.. [emoji16][emoji16][emoji16]

Rizki ya mtu iko kwa mtu..! Cha chuma huliwa na kutu na cha mtu huliwa na mtu na[emoji16]

Kuna mtu amekulaga sana hela zangu na bado anaendelea kula...!
Jamani kwa hiyo tayari ushawahiwa (wadada mlio single tusikitike kwa pamoja tititititiiiii )Ila unaweza ongeza mmoja ye atakula kidogo kidogo sio sana

Huyo anaekula sanaa pesa zako naniii mwambie apunguze na sisi tupelekwe Ibiza
 
Asante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…