D
Nipo hapa jiji la makondaAsante dear,sitakusahau,upo wapi lakini?
Kura yangu ushapataBwana promota! Nakuomba unitafutie mwingine level zangu... Kunipambanisha na huyu mwendawazimu anaewadhalilisha MaTO na ma engineers ni kuniadhiri.
Ingawaje wapiga kura wangu... Nawapenda sana na nataka nigombee humu JF na ninaahidi pesa zangu za majuu zikitoka kila nyumba ya mwana JF naiwekea roundabout kwa ndani iwe zaidi ya self contained kwa gharama zangu.. Naombeni kura zenu wana JF.. [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji176]
Sawa mpiga kuraKura yangu ushapata
hawa HKL , HGK , KLF N.K wasoma mofimu na mufekane war wasijilinganishe na vichwa vya PCB ,PCM NA PGM wataumia[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mnanifanya niplan siku moja niwatoe watoto wazuri wote wa JF somewhere tukutane patulivu for some candlelight dinner, ili tu enjoy na tufurahi maana life is too short kuwa na mastress kama ya injinia Ndezi.Kura yangu kwa Humble African
Namimi nasema Ahsante sana...na acha niseme nayakubali sana maandiko yako...Wewe tena! Wewe ni mtu mzuri sana hunaga makuu wala shobo... Nakukubali sana tu. Na kura yako nimeipokea kwa moyo wote. Shukrani.
Nitatekeleza ahadi yangu kwako ya ujenzi wa roundabout punde. [emoji106]
Fursa hiyo ,Humble ni fursa[emoji16] [emoji16] [emoji16] mama Sabrina bana
Yaani kura yako ni tamu kama Kamasutra vile. You always got my back... I got yours too. Adui yako huwa ni adui yangu regardless what.Kura yangu ushapata
[emoji16] [emoji16]Fursa hiyo ,Humble ni fursa
[emoji123][emoji123][emoji123] kura yangu ulijua toka kitambo ni yako hakuna namna [emoji177]Yaani kura yako ni tamu kama Kamasutra vile. You always got my back... I got yours too. Adui yako huwa ni adui yangu regardless what.
Kura yako niliitegemea sana.
One love swry lady.
Tupeleke Ibiza tuMnanifanya niplan siku moja niwatoe watoto wazuri wote wa JF somewhere tukutane patulivu for some candlelight dinner, ili tu enjoy na tufurahi maana life is too short kuwa na mastress kama ya injinia Ndezi.
Valentina tuko pamoja best.
[emoji176]
Huyu jamaa ni mtoto kabisa au anaweza kuwa chizi mkuu nakushauri achana nae hastahili hata kidogo kubishana na wewe........unajishushia hadhi yako tu kubishana nae we ni mtu mkubwa sanaAhahaha!! Promota unaijua kazi yako vizuri sana... Kama Don King vile...!
Kwa ninavyofahamu hakuna engineer anaewaza ujinga kama huyu hapa...!View attachment 827673
Ahahaha!! Usinchekeshe bhana.. [emoji16][emoji16][emoji16]Fursa hiyo ,Humble ni fursa
Mkuu! Nimekuelewa na umekuwa ukinishauri hili kwa muda tu. Nimeamua kumpuuza kuanzia sasa.Huyu jamaa ni mtoto kabisa au anaweza kuwa chizi mkuu nakushauri achana nae hastahili hata kidogo kubishana na wewe........unajishushia hadhi yako tu kubishana nae we ni mtu mkubwa sana
Jamani kwa hiyo tayari ushawahiwa (wadada mlio single tusikitike kwa pamoja tititititiiiii )Ila unaweza ongeza mmoja ye atakula kidogo kidogo sio sanaAhahaha!! Usinchekeshe bhana.. [emoji16][emoji16][emoji16]
Rizki ya mtu iko kwa mtu..! Cha chuma huliwa na kutu na cha mtu huliwa na mtu na[emoji16]
Kuna mtu amekulaga sana hela zangu na bado anaendelea kula...!
Ooooh mi najuaga toka zamani Humble sio mtu wa mchezo mchezo usiniulize nimejuaje[emoji6][emoji6][emoji6][emoji16] [emoji16]
Asante sanaNdugu yangu! Endelea kufurahia Huduma zangu.
Hujakosea mkuu... Maputo bartender ni mdada mmoja hivi mreno mweusi wa kutoka Maputo, Mozambique, anafanya kazi kwenye Bar and Grill moja hivi hapa Tanzania. nilikutana nae akawa mshkaji nikamsave Maputo bartender. That's it!