BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Bwana promota! Nakuomba unitafutie mwingine level zangu... Kunipambanisha na huyu mwendawazimu anaewadhalilisha MaTO na ma engineers ni kuniadhiri.

Ingawaje wapiga kura wangu... Nawapenda sana na nataka nigombee humu JF na ninaahidi pesa zangu za majuu zikitoka kila nyumba ya mwana JF naiwekea roundabout kwa ndani iwe zaidi ya self contained kwa gharama zangu.. Naombeni kura zenu wana JF.. [emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji176]
Kura yangu ushapata
 
hawa HKL , HGK , KLF N.K wasoma mofimu na mufekane war wasijilinganishe na vichwa vya PCB ,PCM NA PGM wataumia[emoji23] [emoji23] [emoji23]

haya maajabu sana mtu ana kariri historia ya sayansi eti nae anajiita kipanga

miaka nenda rudi hajawahi fanya/gundua lolote/chochote cha maana zaidi ya kukariri hooks law, newtone law et anajiita kipanga pumbavu sana
 
Yaani kura yako ni tamu kama Kamasutra vile. You always got my back... I got yours too. Adui yako huwa ni adui yangu regardless what.

Kura yako niliitegemea sana.

One love swry lady.
[emoji123][emoji123][emoji123] kura yangu ulijua toka kitambo ni yako hakuna namna [emoji177]
 
Ahahaha!! Promota unaijua kazi yako vizuri sana... Kama Don King vile...!

Kwa ninavyofahamu hakuna engineer anaewaza ujinga kama huyu hapa...!View attachment 827673
Huyu jamaa ni mtoto kabisa au anaweza kuwa chizi mkuu nakushauri achana nae hastahili hata kidogo kubishana na wewe........unajishushia hadhi yako tu kubishana nae we ni mtu mkubwa sana
 
Ahahaha!! Usinchekeshe bhana.. [emoji16][emoji16][emoji16]

Rizki ya mtu iko kwa mtu..! Cha chuma huliwa na kutu na cha mtu huliwa na mtu na[emoji16]

Kuna mtu amekulaga sana hela zangu na bado anaendelea kula...!
Jamani kwa hiyo tayari ushawahiwa (wadada mlio single tusikitike kwa pamoja tititititiiiii )Ila unaweza ongeza mmoja ye atakula kidogo kidogo sio sana

Huyo anaekula sanaa pesa zako naniii mwambie apunguze na sisi tupelekwe Ibiza
 
Ndugu yangu! Endelea kufurahia Huduma zangu.

Hujakosea mkuu... Maputo bartender ni mdada mmoja hivi mreno mweusi wa kutoka Maputo, Mozambique, anafanya kazi kwenye Bar and Grill moja hivi hapa Tanzania. nilikutana nae akawa mshkaji nikamsave Maputo bartender. That's it!
Asante sana
 
Back
Top Bottom