Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Umesema kila nyumba ya mwanajf utaweka round about [emoji23] mi nataka daraja tuNashukuru mkuu nazichukua kwa moyo mkunjufu sana.
Billget mwenzangu! [emoji16][emoji16][emoji109]
Humble ni mwanaume wangu halali kabisa hii ni vita ya kifamilia na tumeishinda naomba nikampikie chai ya maziwa,chapati ya cowboy.Okay okay basi huu Uzi itabidi nimkabidhi yaani akijisikia anataka kuchafua aje hapa akutag tu na sio kwenda kuchafua nyuzi za watu maana leo kuna Uzi wa Zahra White aliuvamia mpaka wakagombana na mwenye uzi hivyo hii sio tabia nzuri at all.
Huyu kijana bila shaka haijui ladha ya kuheshimiana aisee but angekuwa anaijua kamwe asingekuwa anafanya ayafanyayo kabisa.Hajui km hii ni bahari humu kuna watu ambao akiwaona basi anaweza kushangaa kama ndo wao anaowatukana ovyoWewe jamaa yangu unafurahisha sana... Eti BMW na TREKTA... Irrelevant!
Dogo ajifunze kuheshimu watu wote bila kujalisha chochote.. Ndio maisha hayo, mbona Mimi wewe sikujui lakini nakuheshimu Mkuu?
Tukiheshimiana tutapenda na kuthaminiana.
Hahahaha haya kampikie wakati mi naendelea Ku count kura na EFD machineHumble ni mwanaume wangu halali kabisa hii ni vita ya kifamilia na tumeishinda naomba nikampikie chai ya maziwa,chapati ya cowboy.
Shukrani nawe kaka kwa kutukimbizia huyo kimburu,maana limekuwa tatizo sugu humu😀.@victormztz Shukrani kaka. Tuendelee kuwa waungwana.
I'm always humble but this dude made me rumble.
Wozaaaaa le wifiiiHumble ni mwanaume wangu halali kabisa hii ni vita ya kifamilia na tumeishinda naomba nikampikie chai ya maziwa,chapati ya cowboy.
You always say the world I love to hear hun.Humble ni mwanaume wangu halali kabisa hii ni vita ya kifamilia na tumeishinda naomba nikampikie chai ya maziwa,chapati ya cowboy.
yes mwenye cheti chakeWozaaaaa le wifiii
Mtafuna hela za Humble kafika jamani jamaniYou always say the world I love to hear hun.
Mke wangu Mdiplomatike mrembo, utie na karafuu kwenye maziwa hun... [emoji16][emoji16]
not karafuu honey,ni vanilla,hiriki abdalasini katangawizi kidogo majani mengi,chumbani utashushia sharubatiYou always say the world I love to hear hun.
Mke wangu Mdiplomatike mrembo, utie na karafuu kwenye maziwa hun... [emoji16][emoji16]
Wifi kaka anaomba ruhusa atupeleke baadhi ya wadada wa jf kula bata ibiza ,toa ruhusayes mwenye cheti chake
Kwa masikitiko makubwa KURA inaenda kwa Humble AfricanJina langu ni CCNP Engineer.
Nina degree ya Telecommunications Engineering.
Mimi ni Engineer wa computer networks (security and data center)
Mimi kama engineer hata siku moja siwezi kulinganishwa na mtu alosoma HKL. Topic moja ya chemistry (ORGANIC) nilosoma A-level ni equivalent to syllabus yote ya HKL form five na six jumlisha na GS.
Mimi kama mwanaume, ni udhalilishaji mbaya kabisa kunilinganisha na PUGI. Mimi sio PUGI, bali ni mwanaume. Waulizeni akina Rebeca 83 na amu na theriogenology na baba swalehe, wao ni mashahidi katika hili.
Huyu PUGI aliletaga UNAFIKI kwenye magroup ya TMT alivogundulika akatimuliwa na chyupi kichwani na Screenshort ninazo, na akibisha naweka namba yake ya cm hapa. Alikua Anatumia nickname ya Spiritual Crypto.
Conlusion:
Kumlinganisha Engineer na PUGI ni sawa na kusema kati ya FLOYD MAYWEATHER na CRISTIANO RONALDO nani mkali (Does it make any sense???)
Sifananishwi na wabwekaji!!!
Engineer atabaki kuwa Engineer, PUGI atabaki kuwa PUGI.
Hivo rasmi huu Uzi umefungwa. Hakuna maana. Ni udhalilishaji.
Vp tena muamala ulikuwa cancelled nn?Kwa masikitiko makubwa KURA inaenda kwa Humble African
Kama alikua padri mcharo ni moja kati ya watu nilie mripoti kwa mods akafungiwa.Na bado nitamripoti tena na tena mpaka atakapo heshim iman za watu.Hata Mimi nilikuja kujua majuzi tu na nililazimika kuungainsha dots flani hivi ikiwemo hii. Baada ya yeye kuanza kumtusi hadi Mungu... Huyu atakuwa mwehu sio bure.View attachment 827677
wewe G wako utakubali atupeleke hapo mbudya tu?Wifi kaka anaomba ruhusa atupeleke baadhi ya wadada wa jf kula bata ibiza ,toa ruhusa