Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,415
Promota kura ya huyu... Naomba zihesabike kama mbili maana kaonyeha uvumilivu na heshima kwa injinia aliempa ahadi ya uongo ya kumpa elfu hamsini then akaingia mitini. Yaani kavumilia utapeli!Kwa masikitiko makubwa KURA inaenda kwa Humble African
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kabisaaEh mama fursa kama hizi hutakiwi kuzembea teh
Haahah huu uzi jamaniengineer mdogo wangu piga picha hata elfu hamsini uweke hapa , kuna wanawake wao iliyopo hiyo hiyo watatupa hata nusu point hawaachi kitu.
Hii vita ni kama kuilinganisha TZ na U.S.A. wenye akili wameshaelewa..engineer yuko wapi sasa aje aweke salio tuondoke na ushindi kabisa.
Sana tuu!Inafanya siku ziende vizuri na tunafurahi pia
CheersHa ha ha!! Interesting topic, interesting comments and most importantly interesting audience!!
Mi nawapenda sana.
Cheers!!
@Darmian umenchekesha saana. Mwache bhana promota bado kuna kazi tunaimalizia hapa kidogo.Twende tukaweke mikeka mkuu..acha kupambanisha watu.
ningekurushia best na tungeunganisha nguvu za kumkimbiza Humble African humu ndani hawezi kutudhalilisha namna hii sisi wa kina John kisomo ila keshatushinda tuungane nae tu Humble AfricanAmu umetudhulumu bwanaaa![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umerushiwaa
It's true!! We had a lot of funny sir. And its only funny until someone get hurt? CCNP engineer is down and hurt. [emoji16] and the fun is almost over.Ha ha ha!! Interesting topic, interesting comments and most importantly interesting audience!!
Mi nawapenda sana.
Cheers!!
Mkuu mrusi kanipiga mtaji navuta kasi na kuongeza mtaji but nilikuwa sijaanza kazi rasmi so in these 2weeks naingia rasmi nshaweka order ya BMW 3SERIES ya kuzugia na lazima ipatikane.Twende tukaweke mikeka mkuu..acha kupambanisha watu.
mhhhh sisemi mie ila mimi pia mwanaume wangu ana pesa hatari anasoma hapa atansaidia tu kulipa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] madeni uyalipe hayo
Them good old days.. Na lingine la sanifu, ilikuwa raha kinoma.Aisee nimejikuta nakumbuka enzi za jarida la Sani yule bwana maprosoo utasikia
Sasa mama watoto itabidi umwambie yule Abdul pilot wetu akaitoe Boeing 787 Dreamliner mkachukue majani ya mbuzi pale Newfoundland kwa ajili ya hawa mbuzi wetu 4 tuliowanunu USD 30000@.
[emoji23][emoji23][emoji23]Aisee nimejikuta nakumbuka enzi za jarida la Sani yule bwana maprosoo utasikia
Sasa mama watoto itabidi umwambie yule Abdul pilot wetu akaitoe Boeing 787 Dreamliner mkachukue majani ya mbuzi pale Newfoundland kwa ajili ya hawa mbuzi wetu 4 tuliowanunu USD 30000@.
Unakumbuka before hayajaanza kutoka km magazeti walivyokuwa wanatoa majarida kila mwezi basi unakuta mtu ana collection ya mwaka mzima unarudia kuyasoma hata Mara 10.Them good old days.. Na lingine la sanifu, ilikuwa raha kinoma.
Mkuu, ni Football ama Basketball?Mkuu mrusi kanipiga mtaji navuta kasi na kuongeza mtaji but nilikuwa sijaanza kazi rasmi so in these 2weeks naingia rasmi nshaweka order ya BMW 3SERIES ya kuzugia na lazima ipatikane.
Naomba uniajiri kazi ya kusoma pm na kuzijibu tafadhaliThem good old days.. Na lingine la sanifu, ilikuwa raha kinoma.
Access deniedNa wewe ukiwepo unakuwa nae,to ruhusa basi
Zahra mihela acha hizoAccess denied