BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Kwa masikitiko makubwa KURA inaenda kwa Humble African
Promota kura ya huyu... Naomba zihesabike kama mbili maana kaonyeha uvumilivu na heshima kwa injinia aliempa ahadi ya uongo ya kumpa elfu hamsini then akaingia mitini. Yaani kavumilia utapeli!

Amekuwa mvumilivu na mwenye staha sana unless kwa mwingine ungekuwa mwano sana muda huu.
 
Ha ha ha!! Interesting topic, interesting comments and most importantly interesting audience!!

Mi nawapenda sana.

Cheers!!
It's true!! We had a lot of funny sir. And its only funny until someone get hurt? CCNP engineer is down and hurt. [emoji16] and the fun is almost over.

enjoy!
 
Twende tukaweke mikeka mkuu..acha kupambanisha watu.
Mkuu mrusi kanipiga mtaji navuta kasi na kuongeza mtaji but nilikuwa sijaanza kazi rasmi so in these 2weeks naingia rasmi nshaweka order ya BMW 3SERIES ya kuzugia na lazima ipatikane.
 
Aisee nimejikuta nakumbuka enzi za jarida la Sani yule bwana maprosoo utasikia
Sasa mama watoto itabidi umwambie yule Abdul pilot wetu akaitoe Boeing 787 Dreamliner mkachukue majani ya mbuzi pale Newfoundland kwa ajili ya hawa mbuzi wetu 4 tuliowanunu USD 30000@.
Them good old days.. Na lingine la sanifu, ilikuwa raha kinoma.
 
Aisee nimejikuta nakumbuka enzi za jarida la Sani yule bwana maprosoo utasikia
Sasa mama watoto itabidi umwambie yule Abdul pilot wetu akaitoe Boeing 787 Dreamliner mkachukue majani ya mbuzi pale Newfoundland kwa ajili ya hawa mbuzi wetu 4 tuliowanunu USD 30000@.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Them good old days.. Na lingine la sanifu, ilikuwa raha kinoma.
Unakumbuka before hayajaanza kutoka km magazeti walivyokuwa wanatoa majarida kila mwezi basi unakuta mtu ana collection ya mwaka mzima unarudia kuyasoma hata Mara 10.
 
Back
Top Bottom