Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,415
It's all good bro! I was just doing what I always do best. Just killing them haters and hecklers in classy and stylish mode.Hahaha mkuu siyo kwa matusi hayo kwa lefake engeneer
Mkuu @humbleafrican your always flyigh to the matter facts nd reality
To be truth you never let me down nd someother members here , keep it up brooh
Hapo ndipo ninapokupendea, hujawahi kuniangusha.... Haya twen'zetu Msata kabla hawajatuwahi wenzetu [emoji12]
Hahaha, Shem banamjadala utaisha pale amu atakaposema kapokea hizo pesa mjini heshima pesa
Tuko pamojaBrother huu mjadala huko huku chit chart na kila mtu ana haki ya kusema anachotaka regardless what, thus no matter what unatakiwa mjadala ufe wenyewe tu natural death unless utaendelea tu na battle itaendelea.
Ninajua I'm arguing with the foolish guy... Huwezi kuargue na fool then uexpect kubakia vile vile smart and sophisticated... I have to go down with him on the mud.. Ni sawa na kuchezea mieleka na nguruwe kwenye tope afu utegemee utoke msafi... Hell no!
I'm enjoying the foolishness ya kucheza kwenye matope na huyu mwehu fortunately nazaa nae kwa uzuri tu. [emoji16][emoji16]
Though, wewe ni jamaa yangu mkubwa toka intelligence nakuheshimu na kuheshimu sana maoni yako but let me be me bro.
Regards.
Kivyere naona umesumarize\Aitheeee nshakuwa pugi tena astaghfirullah.....
Kwasisi watu wenye busara zetu huwa tunasema Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
Ahahahhaha injinia kakuangusha sana mwanasayansi mwenziefala sana yaani naonaje aibu hapa nlijishusha jamani nlipigania sana heshima yetu
What did u say?kweli nimeamini pesa inaenda kwa mwenye pesa yaani mwanamke wa kwanza wewe leo kutoa pesa humu humu tena kilo na 20 anyway nilishapokea pesa kadhaa kwa waliopenda comment nishapokea 35,000,65,000 na 21,000 aaa ila leo napokea kutoka kwa mke wa papaa mwenyewe humble african humble aliyesoma HKL yake lakini ametukimbiza sisi Wa pure maths,ndugu wajumbe nafinalize na zahra nitaleta mrejesho halafu kuanzia leo wewe Zahra mimi ni best wako humu ndani nakupendaje teh teh tehmjadala utaisha pale amu atakaposema kapokea hizo pesa mjini heshima pesa
Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumpe muda maybe atakuwa site anarekebisha minara [emoji4][emoji4] wanasayansi huwa hatushindwi kirahisi.....
Asipoweka leo screenshot kesho mapema atafanya hivyo....
So tuwe wavumilivu....
Ahahahhaahahahamu: hiyo 120 ikiingia usitusahau hata elfu moja tukajifute machozi na maziwa fresh , hamtabiriki nyie mkishapata mnapotea kiaina.
Penye udhia waswahili wanasema Penyeza.....What did u say?kweli nimeamini pesa inaenda kwa mwenye pesa yaani mwanamke wa kwanza wewe leo kutoa pesa humu humu tena kilo na 20 anyway nilishapokea pesa kadhaa kwa waliopenda comment nishapokea 35,000,65,000 na 21,000 aaa ila leo napokea kutoka kwa mke wa papaa mwenyewe humble african humble aliyesoma HKL yake lakini ametukimbiza sisi Wa pure maths,ndugu wajumbe nafinalize na zahra nitaleta mrejesho halafu kuanzia leo wewe Zahra mimi ni best wako humu ndani nakupendaje teh teh teh
Ila screenshot ingependeza zaidi....[emoji2][emoji2]5H1*1K3J1*J Confirmed. On 5/8/18,8:58 PM Give Tshs 125,000 to .....SAIDI New balance is Tshs ******
Ndugu wajumbe muamala umesoma nawaombeni wale tulioahidiana kujifuta machozi wana sayansi pm tugawane,halafu Zahra endelea kumshikilia hivyo hivyo Humble si kwa pesa hizi
njoo pm nikurushie 5,000 hapo unapata bia 5 au soda 10 ukanywe na familia acha ubishiIla screenshot ingependeza zaidi....[emoji2][emoji2]
[emoji23] [emoji23] [emoji17]daah!mi nilijua ulipata bingo amu ukaamua kunipotezea...ningekurushia best na tungeunganisha nguvu za kumkimbiza Humble African humu ndani hawezi kutudhalilisha namna hii sisi wa kina John kisomo ila keshatushinda tuungane nae tu Humble African
Haya ndo tunayoyataka sio swaga za mara sijui mnara umeyumba basi signal zimekuwa weak mpaka ussd code zimegongana huko angani na porojo nyingiiii.5H1*1K3J1*J Confirmed. On 5/8/18,8:58 PM Give Tshs 125,000 to .....SAIDI New balance is Tshs ******
Ndugu wajumbe muamala umesoma nawaombeni wale tulioahidiana kujifuta machozi wana sayansi pm tugawane,halafu Zahra endelea kumshikilia hivyo hivyo Humble si kwa pesa hizi
[emoji23] [emoji23] [emoji17]daah!mi nilijua ulipata bingo amu ukaamua kunipotezea...
Daah!yaani akina H kunani wametupiga bonge la dochii!!!
Ngoja tujiunge nao tu!
Kura yangu kwa Humble African japo kwa shingo upange[emoji17] [emoji17] [emoji17]
Khaa sawa bhana [emoji3][emoji3][emoji3]njoo pm nikurushie 5,000 hapo unapata bia 5 au soda 10 ukanywe na familia acha ubishi
Woyooo[emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]amu ngoja nije pm5H1*1K3J1*J Confirmed. On 5/8/18,8:58 PM Give Tshs 125,000 to .....SAIDI New balance is Tshs ******
Ndugu wajumbe muamala umesoma nawaombeni wale tulioahidiana kujifuta machozi wana sayansi pm tugawane,halafu Zahra endelea kumshikilia hivyo hivyo Humble si kwa pesa hizi
Wozaaaaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]5H1*1K3J1*J Confirmed. On 5/8/18,8:58 PM Give Tshs 125,000 to .....SAIDI New balance is Tshs ******
Ndugu wajumbe muamala umesoma nawaombeni wale tulioahidiana kujifuta machozi wana sayansi pm tugawane,halafu Zahra endelea kumshikilia hivyo hivyo Humble si kwa pesa hizi
Thread closed naenda kutiyana na mume wangu,usiku mwemaHahaha, Shem banaTuko pamoja