BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

yaani shoga hapa humble katutukana wasomi tena kisomi zaidi kampa pesa mke wake anitumia yaani jamani nyie watu hawana maneno mengi sahivi hapa tunachat wao kimya na zahra aliaga alisema anaenda kunanilii nae jamani mweee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mida ya watu wazima kucheza hii acha wakacheze!kidali poo!

Ushapewa chako sasa tuanze kujenga heshimaa
 
naunga mkono hoja,tena mie aache kabisa kunimention wala kunitag ,nataka wanitag Zahra na humble tu yeye atulie kabisa aibu aliyonsababishia ni kubwa sana
hafai kabisa yule πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

alimbeep humble kuhusu salio la bank humble kampigia kabisa... jamaa kaingia mitini
 
hafai kabisa yule πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

alimbeep humble kuhusu salio la bank humble kampigia kabisa... jamaa kaingia mitini
mimi nlimuona hafai toke siku ile aliposema alipo hakuna huduma za kibank jamani wakati bank karibia zote zinaoperate kidijital na kuna onlne banking za mabele kibao cetified injinia 50,000 imemshinda mweee yaani leo mambo ni humble na Zahra tu,bwana kaweka salio bibi katuma pesa watu oyooooooo
 
Woyoooooo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
hahahahah.... heshima ziende kwa bwana na bibi humble πŸ˜‚πŸ˜‚
 
hahahahah.... heshima ziende kwa bwana na bibi humble πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwanza injinia atuambie mwanamke wake humu ni nani?
Humble African alishatuonesha mtoto mzuri anayemmiliki humu ndani yeye sasa atuambie aaa tukumbushe kwenye maisha haya vitu viwili tu vinarun dunia mapenzi na pesa humble anavyo vyote
 
Savage [emoji119][emoji119]
 
Kwanza injinia atuambie mwanamke wake humu ni nani?
Humble African alishatuonesha mtoto mzuri anayemmiliki humu ndani yeye sasa atuambie aaa tukumbushe kwenye maisha haya vitu viwili tu vinarun dunia mapenzi na pesa humble anavyo vyote
Kawaonyesha mtoto mzuri au ID nzuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…