[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mida ya watu wazima kucheza hii acha wakacheze!kidali poo!yaani shoga hapa humble katutukana wasomi tena kisomi zaidi kampa pesa mke wake anitumia yaani jamani nyie watu hawana maneno mengi sahivi hapa tunachat wao kimya na zahra aliaga alisema anaenda kunanilii nae jamani mweee
Wewe hapa mambo ni humble na Zahra tu couple ya kiwangoAlitaka kufanisha the bold na vitu vyakijinga.keshafeli huyo
hafai kabisa yule πππππnaunga mkono hoja,tena mie aache kabisa kunimention wala kunitag ,nataka wanitag Zahra na humble tu yeye atulie kabisa aibu aliyonsababishia ni kubwa sana
Unaitwa hukuAmetumia nguvu nyingi kujibomoa mwenyewe,yaani nadhani sasa inabidi awe mpole tu na sifa zake za kijinga aziache
mimi nlimuona hafai toke siku ile aliposema alipo hakuna huduma za kibank jamani wakati bank karibia zote zinaoperate kidijital na kuna onlne banking za mabele kibao cetified injinia 50,000 imemshinda mweee yaani leo mambo ni humble na Zahra tu,bwana kaweka salio bibi katuma pesa watu oyooooooohafai kabisa yule πππππ
alimbeep humble kuhusu salio la bank humble kampigia kabisa... jamaa kaingia mitini
Mie huyo wacha nikimbilie dodo na mie leo nimekumbukwa aisee.
Allah subhana wahiiMie huyo wacha nikimbilie dodo na mie leo nimekumbukwa aisee.
Woyoooooo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]mimi nlimuona hafai toke siku ile aliposema alipo hakuna huduma za kibank jamani wakati bank karibia zote zinaoperate kidijital na kuna onlne banking za mabele kibao cetified injinia 50,000 imemshinda mweee yaani leo mambo ni humble na Zahra tu,bwana kaweka salio bibi katuma pesa watu oyooooooo
hahahahah.... heshima ziende kwa bwana na bibi humble ππmimi nlimuona hafai toke siku ile aliposema alipo hakuna huduma za kibank jamani wakati bank karibia zote zinaoperate kidijital na kuna onlne banking za mabele kibao cetified injinia 50,000 imemshinda mweee yaani leo mambo ni humble na Zahra tu,bwana kaweka salio bibi katuma pesa watu oyooooooo
Kwanza injinia atuambie mwanamke wake humu ni nani?hahahahah.... heshima ziende kwa bwana na bibi humble ππ
Savage [emoji119][emoji119]Jina langu ni CCNP Engineer.
Nina degree ya Telecommunications Engineering.
Mimi ni Engineer wa computer networks (security and data center)
Mimi kama engineer hata siku moja siwezi kulinganishwa na mtu alosoma HKL. Topic moja ya chemistry (ORGANIC) nilosoma A-level ni equivalent to syllabus yote ya HKL form five na six jumlisha na GS.
Mimi kama mwanaume, ni udhalilishaji mbaya kabisa kunilinganisha na PUGI. Mimi sio PUGI, bali ni mwanaume. Waulizeni akina Rebeca 83 na amu na theriogenology na baba swalehe, wao ni mashahidi katika hili.
Huyu PUGI aliletaga UNAFIKI kwenye magroup ya TMT alivogundulika akatimuliwa na chyupi kichwani na Screenshort ninazo, na akibisha naweka namba yake ya cm hapa. Alikua Anatumia nickname ya Spiritual Crypto.
Conlusion:
Kumlinganisha Engineer na PUGI ni sawa na kusema kati ya FLOYD MAYWEATHER na CRISTIANO RONALDO nani mkali (Does it make any sense???)
Sifananishwi na wabwekaji!!!
Engineer atabaki kuwa Engineer, PUGI atabaki kuwa PUGI.
Hivo rasmi huu Uzi umefungwa. Hakuna maana. Ni udhalilishaji.
Mama Sabrina umeniita kwenye dhoruba mbona?imebidi nitoke nduki aisee
AseeeKwanza injinia atuambie mwanamke wake humu ni nani?
Humble African alishatuonesha mtoto mzuri anayemmiliki humu ndani yeye sasa atuambie aaa tukumbushe kwenye maisha haya vitu viwili tu vinarun dunia mapenzi na pesa humble anavyo vyote
DuhThread closed naenda kutiyana na mume wangu,usiku mwema
Kumbe ni dume mi sikujua aisee atakuwa timamu kweliMama Sabrina umeniita kwenye dhoruba mbona?imebidi nitoke nduki aisee
injinia yeye ana AAA form six ππππKwanza injinia atuambie mwanamke wake humu ni nani?
Humble African alishatuonesha mtoto mzuri anayemmiliki humu ndani yeye sasa atuambie aaa tukumbushe kwenye maisha haya vitu viwili tu vinarun dunia mapenzi na pesa humble anavyo vyote
Ni dume tena limeweka na avatar ya SUA.Kumbe ni dume mi sikujua aisee atakuwa timamu kweli
Kawaonyesha mtoto mzuri au ID nzuri?Kwanza injinia atuambie mwanamke wake humu ni nani?
Humble African alishatuonesha mtoto mzuri anayemmiliki humu ndani yeye sasa atuambie aaa tukumbushe kwenye maisha haya vitu viwili tu vinarun dunia mapenzi na pesa humble anavyo vyote
Likukomee mi nilijua totoziiNi dume tena limeweka na avatar ya SUA.
Mimi ndo nliyetumiwa pesa no nimeichungulia whatsappp Zahra chuma wewe mimi mpaka nisifie mwanamke mwenzangu ujue chuma hasa tena cha mjerumaniKawaonyesha mtoto mzuri au ID nzuri?