bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,646
- Thread starter
- #421
Mi mwenyewe nilivyoona we nikatoka nduki kidogo hadi nidondoke nafika nakuta majanga basi nikabaki kuhemea juu juu kama perege majiniLikukomee mi nilijua totozii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi mwenyewe nilivyoona we nikatoka nduki kidogo hadi nidondoke nafika nakuta majanga basi nikabaki kuhemea juu juu kama perege majiniLikukomee mi nilijua totozii
Aisije tu kuwa engineer malapulapu kaja kivingineLikukomee mi nilijua totozii
Hehe ayaMimi ndo nliyetumiwa pesa no nimeichungulia whatsappp Zahra chuma wewe mimi mpaka nisifie mwanamke mwenzangu ujue chuma hasa tena cha mjerumani
Poleee [emoji23][emoji23][emoji23] tumlaani shetaniMi mwenyewe nilivyoona we nikatoka nduki kidogo hadi nidondoke nafika nakuta majanga basi nikabaki kuhemea juu juu kama perege majini
Eeemen na ashindwe In Jiwe's voicePoleee [emoji23][emoji23][emoji23] tumlaani shetani
niache mie 125k si mchezo lazima niwapambe unaweza kuta asubuhi wakiamka wakanrushia ingine piaAseee
Babu hapa umenifungua akili Kama huyu mtoto ndio alikuwa padre mcharo basi naomba acha kubattle nayeHata Mimi nilikuja kujua majuzi tu na nililazimika kuungainsha dots flani hivi ikiwemo hii. Baada ya yeye kuanza kumtusi hadi Mungu... Huyu atakuwa mwehu sio bure.View attachment 827677
Hahahahaha basi itabidi mashine yetu ya kuhesabu kura ilale kwenye charge ili kesho iendelee na kazinasema ivi kesho asubui mpambano unaendelea labda huyu engineer a unstall jamii forum app laasivyo nitamuwinda kila uzi atakao changia shyine anajifanya ana pesa kumbe huna sikuachi aise
Hana demu[emoji23] [emoji23]injinia yeye ana AAA form six [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hatariMi mwenyewe nilivyoona we nikatoka nduki kidogo hadi nidondoke nafika nakuta majanga basi nikabaki kuhemea juu juu kama perege majini
Wanasema ukiwa mwongo inabidi uwe na kumbukumbu ,na JF ni kama safe diposit ya BOT,no data lost (sasa watu wamescreen shot pumba za engineer alizokuwa anaandika earlier days zimemwacha uchiAhahahhaha injinia kakuangusha sana mwanasayansi mwenzie
The end justifies the means,hatusomei sifa tunasomea pesa and in the end good life,ata km umesoma KLF ukiwa na pesa ndio wa maanaKupitia huu uzi nineamini tuliokua tunasapoti pesa ni bora kuliko elimu tulikua sahihi.
Mpaka sasa bwana HA anaongoza.
Nasubiri Eng.. nae aweke nipige kuraa
Usihofu mama,kushindwa kwa mwanasayansi mmoja hatujashindwa wote!hata wa arts mbona alosto wengi tu,hapa ni engineer mmoja na mtaalamu wa lugha mmoja,character ya mtu ni character yake tu hata asome aerospace engineering au law harvardNaja pm wangu sikutegemea kama injinia atatuvua nguo watu wa hesabu wenziwe!!daah!
naweza thubutu kusema hivyo 😂😂😂Hana demu[emoji23] [emoji23]
Nachoweza kusema engineer akili za darasani anazo ila huko alishatoka,atafute akili ya maisha,aache dharau,kejeli na matusi and above all amu acknowledge the Lord almighty ili aweze kutranslate akili yake iwe real successUsihofu mama,kushindwa kwa mwanasayansi mmoja hatujashindwa wote!hata wa arts mbona alosto wengi tu,hapa ni engineer mmoja na mtaalamu wa lugha mmoja,character ya mtu ni character yake tu hata asome aerospace engineering au law harvard
Naam, wazo muhimu sana hili.Nachoweza kusema engineer akili za darasani anazo ila huko alishatoka,atafute akili ya maisha,aache dharau,kejeli na matusi and above all amu acknowledge the Lord almighty ili aweze kutranslate akili yake iwe real success