BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Rekebisha mamaaa nimepewa 125,000 kusema nimepewa 50k na mke wa Humble Zahra ni kuwadhalilisha aiseee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hao mainjinia usiweke nyingi hvyo wape 50 ndugu yangu!!
 
😀😀😀😀😀😀 Daah nyie madogo hata kama mtu hutaki kucheka utacheka tu........
Mkuu its nothing serious ni kuchangamsha jukwaa tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nimesoma comments zoote hadi hapa....
Ebu ngoja nitarejea badae tena kuendelea...
 
Engineer come on unanitia hasara promota kukimbia pambano mkuu,unafikiri mwishoni Hawa wapiga kura mi nitawaambia nn wakati wanasubiri account statement ya CRDB uliyowaahidi?
 
nkiwa nipo bored nakuja hapa nacheeeeeka halafu cheko linaongezeka nkikumbuka 125k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…