Hana bwana huyu mikwara[emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] akitoa nagawana na amu kama alivyofanya yeyeHahahahaha BUKU_50_CHALLENGE_HIYO.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hao mainjinia usiweke nyingi hvyo wape 50 ndugu yangu!!Rekebisha mamaaa nimepewa 125,000 kusema nimepewa 50k na mke wa Humble Zahra ni kuwadhalilisha aiseee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kupitia Mpesa au tigo pesa !!50 sio tatizo inatokaje tokaje?
😀😀😀😀😀😀 Daah nyie madogo hata kama mtu hutaki kucheka utacheka tu........hawa HKL , HGK , KLF N.K wasoma mofimu na mufekane war wasijilinganishe na vichwa vya PCB ,PCM NA PGM wataumia[emoji23] [emoji23] [emoji23]
The Engineer is nowhere to be foundTangu Engineer uchwara aende kuchukua bank statement hajarudi. [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mkuu its nothing serious ni kuchangamsha jukwaa tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]😀😀😀😀😀😀 Daah nyie madogo hata kama mtu hutaki kucheka utacheka tu........
Nijiridhishe kwanza!ila sina ligi na mtu mimi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kupitia Mpesa au tigo pesa !!
Hio Degree una uhakika gani?
.Sina hata uhakika mkuu ila basi tu nimeaikia kwa kujisifia kwake, possibly hata hana. Ujue ni vigumu sana pia kwa alienacho kujisifia tusio na kitu ndio tunakuwaga na misifa kibao. Yawezekana upo sawa aisee.
Thats very trueHana bwana huyu mikwara[emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] akitoa nagawana na amu kama alivyofanya yeye
Mchezo pesa sio kidukuu!!
Hahaaa hatari kashatuma au bado?Hana bwana huyu mikwara[emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] akitoa nagawana na amu kama alivyofanya yeye
Mchezo pesa sio kidukuu!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sina madhara Mimi halafu sasa Mimi nkikuambia hajawahi nikosea utaamini?!!Namuogopa Raynavero alichomfanya mrusi hatakaa asahau
Asee unataka mgao nini na wewe mbona unaikomalia sana?hahaHahaaa hatari kashatuma au bado?
Kuridhika hapa hapa kakaa,!we tuma mzigoo huoo[emoji23] [emoji23] injinia unandhalilishaaaaNijiridhishe kwanza!ila sina ligi na mtu mimi