Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Thats very true
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Thats very true
Mh yule ulomwitia ke wote ni nani vile,pugi![emoji23] [emoji23] [emoji23] sina madhara Mimi halafu sasa Mimi nkikuambia hajawahi nikosea utaamini?!!
Hajatuma yuko site atatuma baadae!Hahaaa hatari kashatuma au bado?
Hapana mkuu sihitaji mgao,nilitaka kujua kama nawe umeitimiza #BUKU_50_CHALLENGE.Asee unataka mgao nini na wewe mbona unaikomalia sana?haha
Kaka angu huyo hana shida ndogo ndogo huyooAsee unataka mgao nini na wewe mbona unaikomalia sana?haha
Haha,hajatuma namba ananipima imani kwanzaHapana mkuu sihitaji mgao,nilitaka kujua kama nawe umeitimiza #BUKU_50_CHALLENGE.
Siku hizi kuna SimBanking /Online Transactions kama anaweza kuchat humu na kucomment JF inamaana Newtork ipo vizuri so ana access na account via Simbanking/Online hata akiwa site.Hajatuma yuko site atatuma baadae!
Msije mkatukimbiza mainlinia wote humu sasaKaka angu huyo hana shida ndogo ndogo huyoo
Mimi tutamalizana naye mwenyewe msije nifanyia technical substitution sehemu ya ccnp engineer aje amalizie kiporo chake,sie wazee wa baratu tuMsije mkatukimbiza mainlinia wote humu sasa
Halafu huyu Jamaa naanza kumsuspect kabadili ID kuna ID anaitumia anajiita sijui Wanduta kanifungulia nyuzi 2 kwa mpigo nahisi anarevenge kwa kuwa nimepromote Pambano hili ambalo amepigwa kwa knockout dk ya kwanza tu.Wewe CCNP Engineer mashabiki wako tunapoa kukusubiri. Ila siku nyingine jifunze kuchagua maadui unaowamudu ona sasa unaishi kama Digidigi JF..aibu gani hii, na upunguze masifaa.. Ah ah ah ah ah
Yeye peke yake ndo alikuwa jipuMsije mkatukimbiza mainlinia wote humu sasa
Hapo umenena thank you kwa hilo mimi nimekuja juzi tu halafu leo nitolewe ndukiYeye peke yake ndo alikuwa jipu
Namba nitume hapa!!hauko serious wewe!!mainjinia nyieHaha,hajatuma namba ananipima imani kwanza
Muamala unasumbua huko aliko!!!mainjinia hawa looh!Siku hizi kuna SimBanking /Online Transactions kama anaweza kuchat humu na kucomment JF inamaana Newtork ipo vizuri so ana access na account via Simbanking/Online hata akiwa site.
Ni kitendo cha kuingia kwenye *150*03# na Kutransfer mpunga kutoka Account Kwenda M-Pesa/Tigo Pesa tu labda kama account haina fedha,Ukifungua account by Default wanakuwekea na sim banking.
Mainjinia nyie mnatudhalilisha kwa kweliMsije mkatukimbiza mainlinia wote humu sasa
[emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Fanya kuokoa jahazi msidhalilike!tafadhaliMimi tutamalizana naye mwenyewe msije nifanyia technical substitution sehemu ya ccnp engineer aje amalizie kiporo chake,sie wazee wa baratu tu
Hahahaaaa Engineer hadi Network ya simu imekata 😀😀😀😀😀😀😀😀😀 bora sie tulioishia form four na kufeli tunapambana porini,hao mainjinia wanaotumia Laptop Pentium 3 wakati watu wapo kwenye Macbook Pro,ngenga nyingi mara nimepiga AAA wakati Bankwa hakuna kitu.Muamala unasumbua huko aliko!!!mainjinia hawa looh!
Why should I?au ndio salamu za kiutuuzima,hakuna cha dada napenda post zako,nakufwatiliaga sana n.k n.k ni 50 kwanza tena kwwenye public rally!ndio wageni wanakaribishwa hivi,haha[emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Fanya kuokoa jahazi msidhalilike!tafadhali
Jengeni heshimaa!!!