BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Hajatuma yuko site atatuma baadae!
Siku hizi kuna SimBanking /Online Transactions kama anaweza kuchat humu na kucomment JF inamaana Newtork ipo vizuri so ana access na account via Simbanking/Online hata akiwa site.

Ni kitendo cha kuingia kwenye *150*03# na Kutransfer mpunga kutoka Account Kwenda M-Pesa/Tigo Pesa tu labda kama account haina fedha,Ukifungua account by Default wanakuwekea na sim banking.
 
Huu mpambano tufanye tu umeisha kwani kitakacholetwa hapa baada ya masaa 24 kupita kitakuwa ni cha kupikwa zaidi.
Sim banking huhitaji masaa 24 kusoma salio na hata kama salio ni kubwa kiasi cha kufunika screen nzima ya simu basi leo saa 3 asubuhi tu tungepata nakala kutoka CRDB ikionyesha salio.
Fanyeni tu kuheshimiana hasa kwenye mambo ya uwezo wa kifedha, watu wana hela balaa na hawajulikani siku ukimjua utatamani dunia itoboke ukimbie ukiwaza ulivyokuwa ukijiona wewe ndio zaid ya wengine.
Nilipita sehemu mwaka fulani nikahisi wote waliopo pale hawakuwahi kufika chuo tena UDSM, Laahaullah kumbe kuna nyoko wa kihaya pale kabutua li degree lake HARVARD na hajikombi wala nini, sasa promota fanya kufunga hili pambano kuokoa madhara yatakayowapata hawa ndugu wawili kwani watafanya kila liwezekanalo washindane hata kwenye kile wasichokuwa nacho na utakuwa umewapa adhabu kubwa kuliko hata hii ya kukaziwa na vyuma.
 
Wewe CCNP Engineer mashabiki wako tunapoa kukusubiri. Ila siku nyingine jifunze kuchagua maadui unaowamudu ona sasa unaishi kama Digidigi JF..aibu gani hii, na upunguze masifaa.. Ah ah ah ah ah
Halafu huyu Jamaa naanza kumsuspect kabadili ID kuna ID anaitumia anajiita sijui Wanduta kanifungulia nyuzi 2 kwa mpigo nahisi anarevenge kwa kuwa nimepromote Pambano hili ambalo amepigwa kwa knockout dk ya kwanza tu.
 
Siku hizi kuna SimBanking /Online Transactions kama anaweza kuchat humu na kucomment JF inamaana Newtork ipo vizuri so ana access na account via Simbanking/Online hata akiwa site.

Ni kitendo cha kuingia kwenye *150*03# na Kutransfer mpunga kutoka Account Kwenda M-Pesa/Tigo Pesa tu labda kama account haina fedha,Ukifungua account by Default wanakuwekea na sim banking.
Muamala unasumbua huko aliko!!!mainjinia hawa looh!
 
Mimi tutamalizana naye mwenyewe msije nifanyia technical substitution sehemu ya ccnp engineer aje amalizie kiporo chake,sie wazee wa baratu tu
[emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Fanya kuokoa jahazi msidhalilike!tafadhali
Jengeni heshimaa!!!
 
Muamala unasumbua huko aliko!!!mainjinia hawa looh!
Hahahaaaa Engineer hadi Network ya simu imekata 😀😀😀😀😀😀😀😀😀 bora sie tulioishia form four na kufeli tunapambana porini,hao mainjinia wanaotumia Laptop Pentium 3 wakati watu wapo kwenye Macbook Pro,ngenga nyingi mara nimepiga AAA wakati Bankwa hakuna kitu.
 
[emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Fanya kuokoa jahazi msidhalilike!tafadhali
Jengeni heshimaa!!!
Why should I?au ndio salamu za kiutuuzima,hakuna cha dada napenda post zako,nakufwatiliaga sana n.k n.k ni 50 kwanza tena kwwenye public rally!ndio wageni wanakaribishwa hivi,haha
 
Back
Top Bottom