BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Hatari kwa injinia aje tu aombe wadau msamaha
Ah ah ah ah ah hilo la kuja hapa tena ndio hata ukimshauri anaona kama huko upande wa humble na unataka aadhirike zaidi hawezi kukubali hilo ahahahahahah
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] injinia=Mzee jiwe
 
Mkuu nakutafta ninamazungumzo nawewe kidogo (Men talk)
 
hahaaa " NN. huwa akijitapa _ watu wote " Mkia kimyaa"daaahh ila JF nyoko" watu wamenipotezea" yule ndugu yangu mwenye jina la dawa aisee

Mkuu.. huyu jamaa mwenye jina la dawa, ilikuaje akapotezwa?
 
Mkuu.. huyu jamaa mwenye jina la dawa, ilikuaje akapotezwa?
kuna raia walianza kumuandama kwa kumfungulia threads za kumsema" ..so nahisi kapoteza hamasa kwa muda ya kuwa humu"... ...ila vijana walivyomfanyia sio poa aisee
 
Mnanifanya niplan siku moja niwatoe watoto wazuri wote wa JF somewhere tukutane patulivu for some candlelight dinner, ili tu enjoy na tufurahi maana life is too short kuwa na mastress kama ya injinia Ndezi.

Valentina tuko pamoja best.

[emoji176]
Hahaaha

Humble una mbwe mbwe sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…