BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer.

Kwa ufupi mume wangu ana pesa sana kwanza kunimiliki mimi lazima awe na pesa salio kaweka dogo sana account haitumiki 5,000,000,hater aliahidi 50,000 kwa amu week imeisha,kwa niaba ya mume wangu namrushia amu 50,000 na fidia ya sh 70,000 jumla 120,000 amu naomba uweke message ya pesa humu sasa hivi nakuja pm
Mkuu mie nimepitwa screenshot ilikua na million ngapi ?
 
engineer mdogo wangu piga picha hata elfu hamsini uweke hapa , kuna wanawake wao iliyopo hiyo hiyo watatupa hata nusu point hawaachi kitu.
Hahaha mkuu siyo kwa matusi hayo kwa lefake engeneer

Mkuu @humbleafrican your always flyigh when it comes to matter of facts nd reality

To be truth you never let me down nd someother members here , keep it up brooh
 
Kwa ufupi mume wangu ana pesa sana kwanza kunimiliki mimi lazima awe na pesa salio kaweka dogo sana account haitumiki 5,000,000,hater aliahidi 50,000 kwa amu week imeisha,kwa niaba ya mume wangu namrushia amu 50,000 na fidia ya sh 70,000 jumla 120,000 amu naomba uweke message ya pesa humu sasa hivi nakuja pm
Hahaha, Shem umetisha,tufanye mjadala umeisha
 
Jina langu ni CCNP Engineer.
Nina degree ya Telecommunications Engineering.
Mimi ni Engineer wa computer networks (security and data center)


Mimi kama engineer hata siku moja siwezi kulinganishwa na mtu alosoma HKL. Topic moja ya chemistry (ORGANIC) nilosoma A-level ni equivalent to syllabus yote ya HKL form five na six jumlisha na GS.

Mimi kama mwanaume, ni udhalilishaji mbaya kabisa kunilinganisha na PUGI. Mimi sio PUGI, bali ni mwanaume. Waulizeni akina Rebeca 83 na amu na theriogenology na baba swalehe, wao ni mashahidi katika hili.

Huyu PUGI aliletaga UNAFIKI kwenye magroup ya TMT alivogundulika akatimuliwa na chyupi kichwani na Screenshort ninazo, na akibisha naweka namba yake ya cm hapa. Alikua Anatumia nickname ya Spiritual Crypto.

Conlusion:
Kumlinganisha Engineer na PUGI ni sawa na kusema kati ya FLOYD MAYWEATHER na CRISTIANO RONALDO nani mkali (Does it make any sense???)


Sifananishwi na wabwekaji!!!

Engineer atabaki kuwa Engineer, PUGI atabaki kuwa PUGI.
Hivo rasmi huu Uzi umefungwa. Hakuna maana. Ni udhalilishaji.
Engineer uko wapi? Nimemaliza popcorn zangu bure afu we umekimbia
 
Brother funga huu mjadala ,kwa heshima na taadhima
Mkuu promota niko hapa hili pambano linahesabiwa kura na EFD Machine sasa hatuwezi poteza nguvu na resources kuchukua mashine TRA then tuahirishe pambano bila kura kuhesabiwa na mshindi kupewa risiti yake.
Ninachosikitika tu ni kuwa Tractor limeachwa mbali sana yaani BMW inapumzika Tinde Tractor ndo linaingia Misugusugu.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Brother funga huu mjadala ,kwa heshima na taadhima
Brother huu mjadala huko huku chit chart na kila mtu ana haki ya kusema anachotaka regardless what, thus no matter what unatakiwa mjadala ufe wenyewe tu natural death unless utaendelea tu na battle itaendelea.

Ninajua I'm arguing with the foolish guy... Huwezi kuargue na fool then uexpect kubakia vile vile smart and sophisticated... I have to go down with him on the mud.. Ni sawa na kuchezea mieleka na nguruwe kwenye tope afu utegemee utoke msafi... Hell no!

I'm enjoying the foolishness ya kucheza kwenye matope na huyu mwehu fortunately nazaa nae kwa uzuri tu. [emoji16][emoji16]

Though, wewe ni jamaa yangu mkubwa toka intelligence nakuheshimu na kuheshimu sana maoni yako but let me be me bro.

Regards.
 
Uchambuzi wangu katika huu mtanange:
1. CCNP Engineer ni jamaa alikua bright sana darasani.
2. Ethics: CCNP Engineer hana ethics, ni MTU WA kutukana ovyo, hii inamuondolea heshima.
3. CCNP Engineer anajigamba na AAA zake, hajui uraiani kunatakiwa akili zaidi ya AAA. Sasa ameshindwa kuthibitisha kuwa kimaisha yuko juu ya Humble African.
Hitimisho: Kura zote anapata Humble African
 
engineer mdogo wangu piga picha hata elfu hamsini uweke hapa , kuna wanawake wao iliyopo hiyo hiyo watatupa hata nusu point hawaachi kitu.
Genuinely we jamaa una comedy sana.. Yaani nacheka hadi napaliwa, [emoji16][emoji16][emoji16] unavyombana kwenye angle mbaya jamaa.

Heshima kwako mkuu.
 
Back
Top Bottom