Battle kati ya Fiesta na Wasafi Festival

Battle kati ya Fiesta na Wasafi Festival

clack93

Member
Joined
Aug 29, 2016
Posts
54
Reaction score
41
Wadau huu mwaka tutashuhudia positive music battle kati ya Fiesta na WasafiFestival kwa upande wangu hii battle naichukulia positive kwa ukuaji wa muziki wetu kwa sababu kama mtoto wa juzi diamond hana miaka mingi kwenye game leo hii anaweza kuwa na label kubwa hadi kufikia hatua ya kuwa na festival ya kuchallenge FIESTA hii ni dalili tosha kwamba kujituma na kuwa na malengo unaweza kufika mbali sana.
 
Wadau huu mwaka tutashuhudia positive music battle kati ya Fiesta na WasafiFestival kwa upande wangu hii battle naichukulia positive kwa ukuaji wa muziki wetu kwa sababu kama mtoto wa juzi diamond hana miaka mingi kwenye game leo hii anaweza kuwa na label kubwa hadi kufikia hatua ya kuwa na festival ya kuchallenge FIESTA hii ni dalili tosha kwamba kujituma na kuwa na malengo unaweza kufika mbali sana.
Wasafi Festival hivi itakuwa inajumuisha wasafi tu au na wasanii wengine?
Kama na wasanii wengine watahusishwa sitoshangaa kusikia malalamiko kuwa wasanii wanalipwa pesa ndogo na hapo ndipo utashangaa iweje aliyekuwa analalamika kunyonywa na Ruge naye ananyonya wengine kama ambavyo imetokea kwa Rich Mavoko.
Wasanii uwa sijui wanakuwa wamezibwa macho wakati wakuingia mikataba maana uwa nashangaa mkataba asaini yeye halafu aje kusema ananyonywa.
 
Wasafi Festival hivi itakuwa inajumuisha wasafi tu au na wasanii wengine?
Kama na wasanii wengine watahusishwa sitoshangaa kusikia malalamiko kuwa wasanii wanalipwa pesa ndogo na hapo ndipo utashangaa iweje aliyekuwa analalamika kunyonywa na Ruge naye ananyonya wengine kama ambavyo imetokea kwa Rich Mavoko.
Wasanii uwa sijui wanakuwa wamezibwa macho wakati wakuingia mikataba maana uwa nashangaa mkataba asaini yeye halafu aje kusema ananyonywa.
wanaweza kuongeza wa wengine wachache ili radha iongezeke
 
Sasa kinyago kinamtisha aliyekichonga.....
"what we gonna do!! mamen is back around"
 
Back
Top Bottom