Battle kati ya Fiesta na Wasafi Festival

Battle kati ya Fiesta na Wasafi Festival

Wasafi Festival hivi itakuwa inajumuisha wasafi tu au na wasanii wengine?
Kama na wasanii wengine watahusishwa sitoshangaa kusikia malalamiko kuwa wasanii wanalipwa pesa ndogo na hapo ndipo utashangaa iweje aliyekuwa analalamika kunyonywa na Ruge naye ananyonya wengine kama ambavyo imetokea kwa Rich Mavoko.
Wasanii uwa sijui wanakuwa wamezibwa macho wakati wakuingia mikataba maana uwa nashangaa mkataba asaini yeye halafu aje kusema ananyonywa.
Kwenye issue za mikataba wengi wetu tunaongozwa na njaa zaidi ndiyo maana tunaishia kupigwa
 
Walikuja Vinega na ANT VIRUS Concert wakiwa EA FM Fiesta ya Clouds ikapeta.
Ikaja Mziki Mnene chini ya EFM Fiestaa imooooo.
Sasa ni Wasafi Festival je fiesta Itatoboaa?
Lkn msemo wa fiesta 2018 ni ovyo sana.
Kitu Usipime, Hakuna Majotrooo, Imooooo now ni ufala sana mwaka huuu
 
Ngoja tuone kwenye malipo ya wasanii!

Usishangae malipo ikawa afadhali clouds Ndio utakapoona maajabu!

Ila all in all wasanii hii ni faida kwao kuchagua
 
Usilolijuwa sawa na usiku wa Giza, Diamond mtumwa tu hapo kama wenzie kina Tale tu..
 
Back
Top Bottom