The Bleiz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2012
- 5,070
- 13,511
------ unanilazimisha nimpigie kura nisiempenda "chupi mwenyew" faggot. ..naona unantaftia ban
Duu. Acha kupaniki binti au upo period?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
------ unanilazimisha nimpigie kura nisiempenda "chupi mwenyew" faggot. ..naona unantaftia ban
Ngoja tuone mkuu lakini mie nina wasiwasi Tanzania huenda tukakosa kabisa hiyo tuzo
Mkuu kama kuvuka kiba alishavuka kitambo since alivyoimba na R Kelly(mfalme wa R&B states),pia MWANA ya kiba inapigwa sehemu nyingi tu Africa Kenya ilishashika No.1 kwenye redio "HOT 96.9 ya Kenya" na "ilikuwa No.6 katika top10 redio "LIVE 91.9 ya ghana",pia leo ipo No.2 katika TOP-20 ya iTunes kwa wiki ya sita sasa akimfukuzia wizkhalifa mkali wa states na track yake ya see you again wakati uyo Mondi wako hajafika iyo Top-20,Mimi nilizungumzia in terms of AWARDS bhana...ni hayo tu mkuu!!!
Wadau Afrimma site sometmz inakua DOWN" kwa wale wenye category moja tupeane nafasi jaman cc wengine tuna saba huko mnatuwekea jam.
Hii tuzo anaweza kuichukua eddy kenzo Ana adavantange sn ya hii ligi ya bwana tembo vs Mr icon
Afrimama wameomba pooo #nawanyoosha