Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Nzuri Ruttashobolwa
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nzuri Ruttashobolwa
mambo viiiiiipi hahahaha
Kweli chibu anajuwa kunyoosha
AEA
UEA
NEA
AFRICAN ARCHIEVERS
TUMEKUJA NA HII TENA??
HIVI CATEGORY NGAPI VILE??
yani team kiba kwa dharau kabisa nampigia kura alikiba best male east na hachukuwi coz yale sio maembe ile ni tuzo unatakiwa uifanyie kazi haiingii akilini mtu aliosumbua nomination zote ashindane na vitoto EA yani ni forever hiyo itakuwa yetu tu, kama best female rap bet kwa nick minaj
WAPI CHEKECHAAAAA HAHAHAHA OOOOH ANAJUWA KUIMBA HAYA SASA BEST AFRICAN SONG NITAMPATA WAPI
mambo viiiiiipi hahahaha
Kweli chibu anajuwa kunyoosha
AEA
UEA
NEA
AFRICAN ARCHIEVERS
TUMEKUJA NA HII TENA??
HIVI CATEGORY NGAPI VILE??
yani team kiba kwa dharau kabisa nampigia kura alikiba best male east na hachukuwi coz yale sio maembe ile ni tuzo unatakiwa uifanyie kazi haiingii akilini mtu aliosumbua nomination zote ashindane na vitoto EA yani ni forever hiyo itakuwa yetu tu, kama best female rap bet kwa nick minaj
WAPI CHEKECHAAAAA HAHAHAHA OOOOH ANAJUWA KUIMBA HAYA SASA BEST AFRICAN SONG NITAMPATA WAPI
Mi nampigia Diamond tu
Namponza Alikiba kwa hatua aliyopiga na hii ndio tunahitaji kuona! Safi.
wapi Matola mzee wa povu, huku matokeo ni 7 kwa 1
Childish. ...
Huu ni uongo sababu leo ndio siku ya mwisho ya ku submit entries, ungeweka subira kwanza ndugu.
Kwanini unataka kudanganya watu, kama itakuwa itakuwa ila ni kusubiri kuona majina gani yatatoka baada ya leo kuisha.
Good news indeed.Ndio maana nakupendaga, umetema madini matupu.
#HatersGonaHate
Huu ni uongo sababu leo ndio siku ya mwisho ya ku submit entries, ungeweka subira kwanza ndugu.
Kwanini unataka kudanganya watu, kama itakuwa itakuwa ila ni kusubiri kuona majina gani yatatoka baada ya leo kuisha.
Nipumzishe basi maana unanijazia notifications huku.
Boguz post.
Yametoka dear.....
hiyo tuzo lazma ije tz
ahahahaha watu kweli walikua na Ugwadu mweeh!category moja wameshaanza kupiga mayowe jamani mbavu zangu mieeee!!
Tanzania imetoa hawa
1.Vanessa mdee-anawania category mbili
2.Ommy dimpozi-moja (msanii chipukizi)afrimma wanadharau sana yaani ommy dimpozi chipukizi??
3.khadija kopa
4.Jaydee
5.Sheddy clever