itoko jr
JF-Expert Member
- Feb 26, 2023
- 1,126
- 2,537
Habarini wakuu
I hope mko gud.
Moja kwa moja kwenye mada kumekua na battle nyingi hapa jf kuhusu uzuri na ubaya wa badhaa ya majiji.nini kiko moshi na nini Kiko ARUSHA ambacho kinakuinterest kwa namna moja ama nyingine, actually mimi ninaikubali sana MOSHI kutokana na baadhi ya mambo mbalimbali ikiwemo;
1. Kibila la wachaga kupenda pesa kumeufanya mji wa moshi kukua kibiashara hakika mzunguko wa fedha ni mkubwa ukicompare na chuga.
2. Upendo, watu wa moshi bhana wanapendana December wote wanarudi home kwaajili ya kusalimia ndugu, jamaa na marafiki.
3. Wanaheshimu mila na tamaduni zao.
4...............
Je wewe unaikubali MOSHI au ARUSHA??? na kama hauikubali ni kwsababu gani???
MOSHI kama mbele
I hope mko gud.
Moja kwa moja kwenye mada kumekua na battle nyingi hapa jf kuhusu uzuri na ubaya wa badhaa ya majiji.nini kiko moshi na nini Kiko ARUSHA ambacho kinakuinterest kwa namna moja ama nyingine, actually mimi ninaikubali sana MOSHI kutokana na baadhi ya mambo mbalimbali ikiwemo;
1. Kibila la wachaga kupenda pesa kumeufanya mji wa moshi kukua kibiashara hakika mzunguko wa fedha ni mkubwa ukicompare na chuga.
2. Upendo, watu wa moshi bhana wanapendana December wote wanarudi home kwaajili ya kusalimia ndugu, jamaa na marafiki.
3. Wanaheshimu mila na tamaduni zao.
4...............
Je wewe unaikubali MOSHI au ARUSHA??? na kama hauikubali ni kwsababu gani???
MOSHI kama mbele