Huyo sio mtu wa Mwanza ni lofa mwenzio kutoka njiro.Mbona mna stress sana nyie watu wa Mwanza mnaolazimisha ifanane na Arusha? 🤪🤪
Unataka kusema nini hapa leta ufafanuzi.Mtandao wa barabara za lami Arusha ni 425.35km
Alafu Mwanza nmetafuta sijaona Au hamna barabara?View attachment 2525127
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Naona umetafuta takwimu za mkoa mzima [emoji28][emoji28][emoji28]Mtandao wa barabara za lami Arusha ni 425.35km
Alafu Mwanza nmetafuta sijaona Au hamna barabara?View attachment 2525127
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
The Sunk Cost Fallacy 2 [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Leta na picha za mabatini ili umalize kila kitu[emoji3]
Ile account yako ya kifala umekula ban
Umekuja na account ya bibi ako dawa inachemka
Leta vitu chalii wa Chuga wapagawe tena waanze kuweka auto reply [emoji3]Baada ya kuvimbewa wali na maharage nipo hapa kwenye sofa la shemeji nikigombania remote na wapwa zangu , sasa nadondosha view la Mwanza[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2525196
Tena akanyike haswa asizoee battle na wakubwa zake [emoji3][emoji3]Hii inaitwa mama mkanye mwanao[emoji850][emoji850]
View attachment 2525275
Niletee zenu za mwanza,nmejaribu kuangalia sijaona...kwani Tanroad hawana ofisi mwanza?Naona umetafuta takwimu za mkoa mzima [emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss kwema..Niletee zenu za mwanza,nmejaribu kuangalia sijaona...kwani Tanroad hawana ofisi mwanza?
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Litakufa jitu[emoji3][emoji3]Hii inaitwa mama mkanye mwanao[emoji850][emoji850]
View attachment 2525275
wanazo ,,Kwan Kuna ulazima wa kudisclose Kila data walizo nazoNiletee zenu za mwanza,nmejaribu kuangalia sijaona...kwani Tanroad hawana ofisi mwanza?
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Capri point ni kama palo alto California [emoji3]Acheni niwakereeeee[emoji851][emoji851][emoji851][emoji855][emoji855][emoji116]View attachment 2525273
[emoji3][emoji3][emoji3] kumbe njiro haioni ndani kwa mnangani ya malimbeNi kweli kabisa Mkuu,Njiro kuna mijengo ya maana kweli [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2525021View attachment 2525022View attachment 2525023
Bwiru kama bwiru japo umechua eneo dogoView attachment 2524526
Karibuni rockcity