Wewe ni mjinga tu kumbe nappteza muda wangu bure hapaHizo bold nyeusi ndio trunk roads
Dar Hadi kiluvya ni km 32
Dar Hadi bunju ni km 37
Dar Hadi kongowe ni km 16
JUMLA =KM 75
acha ushwahili kijana View attachment 2525600View attachment 2525601
Sent using Jamii Forums mobile app
Naishi Njiro, Tanesco wacha kudanganya umma. Ukitoa hiyo hiyo barabara ya Njiro, hakuna cha maana labda chuo cha uhasibu tuHakuna nyumba ya maana hapo ata moja, hizo njiro wanakuona kima tu. Nyie nyie. Embu kwanza zile picha mbili sijui nimewawekea mnatafutana.
Leta takwimu za barabara za lami za Arusha.exclude trunk roadsWewe ni mjinga tu kumbe nappteza muda wangu bure hapa
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Capri point unaijua???Ni kweli kabisa Mkuu,Njiro kuna mijengo ya maana kweli [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2525021View attachment 2525022View attachment 2525023
Tumia logic ata kidogo unalazimisha mikoa mikubwa na barabara sawa na mkoa mdogo kieneo.
Ivi maharibu Uzi kwa kumjibu Mtu ambae ametumia konyagi,mbege na Miraaa?, tuendelee kutoa dozi bila hata kumquote ajione falaWewe si wa milembe naenda na wewe hivyo hivyo
Dalili za kushindwa hizi, na hapa tunashindanisha jiji la Mwanza na arusha, leta mitandao ya barabara za lami za hapo arusha jiji.
Mnawezana na mdomo tu,nmetoa mfano dar ni mkoa mdogo sana na una km 601 za barabara zenye lami Nyie mna excuse gani?Tumia logic ata kidogo unalazimisha mikoa mikubwa na barabara sawa na mkoa mdogo kieneo.
Anakuhamisha kwenye reli hiyo, battle hii ni mwanza rock city na Arusha a town.Other wise kama utataka na sisi tuweke takwimu Hadi barabara za TARURA sawa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe Huna uwezo wa kuleta takwimu?Mr leta?Dalili za kushindwa hizi, na hapa tunashindanisha jiji la Mwanza na arusha, leta mitandao ya barabara za lami za hapo arusha jiji.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji849]..kakwama sasaAnakuhamisha kwenye reli hiyo, battle hii ni mwanza rock city na Arusha a town.
Battle ni mwanza vs arushaAnakuhamisha kwenye reli hiyo, battle hii ni mwanza rock city na Arusha a town.
Tumelemewa wapi[emoji28][emoji28]Battle ni mwanza vs arusha
Mnapoleta gdp hapa hua mnaleta gdp za mwanza sio city Council, tatizo mkoshaona overall mnalemewa mnaaza kulia maayo
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Is this a village or town?Hivi tunabishana na hawa vichaaa [emoji1][emoji1]
Wakishika simu watakwambia arusha ni jiji la kitalii
Reality sasa[emoji3]View attachment 2523561
Barabara mmepigwa KO na hii mada ya barabara imeisha
Aya tumekubali ..kapambane na morogoro sasaBarabara mmepigwa KO na hii mada ya barabara imeisha
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Baada ya hapo aje kwa mkoa wa Pwani na kigoma ya sasa hivi akitoka hapo Dodoma si anataka total za barabara zenye lami including trunk road.Aya tumekubali ..kapambane na morogoro sasa
[emoji28][emoji28][emoji28]
Paved trunk roads ni km 450
Paved regional road 150
Total =600 km
Morogoro hyo hapo Ina km 600 ...no excuse kuwa imewazidi ubora ..
Maana nimekupa argument zangu umeona takataka.aya pambana na Hali yako [emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 2525645
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mkoa bado sana...yaan 29% ndo barabara za lami zilizobaki ni vumbi kwenda mbele[emoji28]..Na lile vumbi la Arusha sasaMtandao wa barabara za lami Arusha ni 425.35km
Alafu Mwanza nmetafuta sijaona Au hamna barabara?View attachment 2525127
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hapa unaongea kimantiki zaidi,chalii wa Matejoo hawezi kukuelewa kamwe.Wamesema zote ni trunk roads.....nipe urefu wa barabara kutoka town Hadi kiluvya, morogoro road
Town Hadi bunju mapinga, bagamoyo road
Town Hadi kongowe kilwa roads...
Hizi ndio barabara kuu zinazounganisha mikoa..maana mim hapa Nazungumzia barabara kuu ..
Hizo km 601 zote ni trunk roads?
Sent using Jamii Forums mobile app