Sasa kwenye rasilimali chache za fedha kwann upeleke pesa nyingi kwenye kitu ambacho tija yake ni ndogo?au kwakua ndio kwa mkeoNani aliyekuambia daraja limejengwa Kwa ajili ya biashara... infrastructure ni service,,,acha uhuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Biggest kwa population tu. Hakuna kingine. Mnazidiwa na arusha city ambayo ni wilaya moja tu.Serikali na Dunia inatambua hivi. Tunaomba rank izingatiwe jamani. Hii sio vita ni facts tu.
View attachment 2526070
Ata kama ingekua ni 1.5T maadam ni kwa ajili ya kutatua kero za wananchi bas ni sawa.Sasa kwenye rasilimali chache za fedha kwann upeleke pesa nyingi kwenye kitu ambacho tija yake ni ndogo?au kwakua ndio kwa mkeo
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kigamboni ni uwekezaji,ilo lenu ni mbelekoAta kama ingekua ni 1.5T maadam ni kwa ajili ya kutatua kero za wananchi bas ni sawa.
Vipi daraja la kigamboni limesharudisha pesa au na lenyew lilijengwa kimahaba
#RELAX [emoji23][emoji23][emoji23]
Katika siku ambayo hujatumia akili ,,ni Leo ...Sasa kwenye rasilimali chache za fedha kwann upeleke pesa nyingi kwenye kitu ambacho tija yake ni ndogo?au kwakua ndio kwa mkeo
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Wanajengewa location za kupigia picha washamba hao si unajua tena aina ya watu wa kule washamba 😀
Hao wote wamepita kupiga picha tuKatika siku ambayo hujatumia akili ,,ni Leo ...
Hawa watu na magari ,,yakiwa yanakaa masaa 2 kwenye foleni kusubiri feli ...ni hasara kubwa mno kiuchumi...
Sa hvi Kuna online tuition za uchumi .. google ujifunzeView attachment 2526660
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakujua hujawahi kuwa na logic..wew ni matope tuHao wote wamepita kupiga picha tu
Hakuna traffic ya maana hapo wangeongeza vivuko kwanzaKatika siku ambayo hujatumia akili ,,ni Leo ...
Hawa watu na magari ,,yakiwa yanakaa masaa 2 kwenye foleni kusubiri feli ...ni hasara kubwa mno kiuchumi...
Sa hvi Kuna online tuition za uchumi .. google ujifunzeView attachment 2526660
Sent using Jamii Forums mobile app
Chuki wazi wazi [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama sio mbeleko ni nn izo b700 angekenga barabara mwanza za maana kwanza atleast ningemuelewaChuki wazi wazi [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo lishajengwa na litaisha na hamna siku mtakuja kuipita mwanza kwa vitu vya msingiHakuna traffic ya maana hapo wangeongeza vivuko kwanza
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Eti wangeongeza vivuko ,,,Kwa akili yako kabisa ...kazi ya miundombinu ni kurahisisha huduma na transfer ya uchumi....Hakuna traffic ya maana hapo wangeongeza vivuko kwanza
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Usitusemee watu wa mwanza.Kama sio mbeleko ni nn izo b700 angekenga barabara mwanza za maana kwanza atleast ningemuelewa
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Nataka twende na infrastructure..tuone wapi wako backwards [emoji28][emoji28][emoji28]Kama sio mbeleko ni nn izo b700 angekenga barabara mwanza za maana kwanza atleast ningemuelewa
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Nataka twende na infrastructure..tuone wapi wako backwards [emoji28][emoji28][emoji28]
Bus terminals
Nyegezi bus terminal and nyamhongolo View attachment 2526734View attachment 2526739
Kwa hizi stand + daraja yaani lazima waichukie kanda ya ziwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mana mnapigwa bakora na miji kama Arusha sasa,Usitusemee watu wa mwanza.
Sisi kwetu daraja ndo lina impact then barabara ndo zinafata.
Bus stages mmezidi ArushaNataka twende na infrastructure..tuone wapi wako backwards [emoji28][emoji28][emoji28]
Bus terminals
Nyegezi bus terminal and nyamhongolo View attachment 2526734View attachment 2526739
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa akili za kiwehu [emoji23][emoji23][emoji23]. Nyuma ya wanaarusha wapo wazungu sis hatutak dhambi.Ndio mana mnapigwa bakora na miji kama Arusha sasa,
Kitu pekee tunaweza wasemea ni kwamba mko nyuma ya Arusha kwa kila kitu...nenda kalie
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app