Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Hamn kuna sehem nmesoma nanukuu "KUNA MDA INABIDI MTU APOKEWE ACCORDING TO AKILI ZAKE "

Infrastructure ni barabara pekee?

Tuendelee na discussion.
Sasa barabara sio infrastructure?kuna aliekuambia usizitaje zingine?
Alooh nyie watu wa mwanza ni vituko kweli

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
💥💥💥
MVIMG_20221215_172536.jpg
 
Sasa barabara sio infrastructure?kuna aliekuambia usizitaje zingine?
Alooh nyie watu wa mwanza ni vituko kweli

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Jikite kweny kile unaulizwa.
Infrastructure ni kitu kipana hakiishii kweny barabara pekee Why utumie barabara kuhitimisha mwanza iko nyuma ya arusha ki-infrastructures?
 
Sasa gari 1600 kwa saa 24 zitarudisha izo tshs 700B kwa miaka mingapi? Manake kila saa moja zitapita gari 66 lolView attachment 2526591

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hio sabab inatosha kumshawish mtu mwenyew akili timamu kukubali JP BRIDGE ni sawa kujengwa.

Kuna vitu hufanyika kwa ajili ya maslahi ya wananchi, maslah ya wananchi ni maslah ya nchi.Daraja halijajengwa ili lirudishe pesa pekee
20230222_190358.jpg
 
Hyo mipango sio kitu Cha kushangaza ..Kwa sababu hata mwanza itajengwa dual carriage ya kutoka Usagara Hadi geita km 50,,,na kutoka town Hadi njia panda ya kuelekea kahama km 55 .
Kutoka town Hadi nyanguge km 35 na ..
JUMLA ya km 140 dual carriage.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kashakufa yule
 
Ta
Watu wa Arusha wamebakiza maneno [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] picha zimeisha wakati Mwanza Ndio kwanza zingine nyingi bado hawajarusha jaman
Mwanza tunatakiwa kulinganisha na Rwanda jamani
Tafuta picha nilipost mbili tu chali mpaka leo sioni alienigusa, moto mkali
 
Back
Top Bottom