tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,221
Impact yake ni ndogo sana kuliko gharama iliowekwa apoHalina impact kweny uchumi kivip?
Impact ya barabara kweny uchumi ni ipi?
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Impact yake ni ndogo sana kuliko gharama iliowekwa apoHalina impact kweny uchumi kivip?
Impact ya barabara kweny uchumi ni ipi?
Sasa barabara sio infrastructure?kuna aliekuambia usizitaje zingine?Hamn kuna sehem nmesoma nanukuu "KUNA MDA INABIDI MTU APOKEWE ACCORDING TO AKILI ZAKE "
Infrastructure ni barabara pekee?
Tuendelee na discussion.
Ni research ipi umefanya ikakufanya uhitimishe kwa daraja lina impact ndogo sana kuliko gharama iliowekwa?Impact yake ni ndogo sana kuliko gharama iliowekwa apo
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Jikite kweny kile unaulizwa.Sasa barabara sio infrastructure?kuna aliekuambia usizitaje zingine?
Alooh nyie watu wa mwanza ni vituko kweli
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Sasa ili usipoteza wakati wewe leta zingine,unalalamika sanaJikite kweny kile unaulizwa.
Infrastructure ni kitu kipana hakiishii kweny barabara pekee Why utumie barabara kuhitimisha mwanza iko nyuma ya arusha ki-infrastructures?
Ni wajibu wako kuthibitisha arusha iko mbele ya mwanza ki-infrastructure.Sasa ili usipoteza wakati wewe leta zingine,unalalamika sana
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Sasa gari 1600 kwa saa 24 zitarudisha izo tshs 700B kwa miaka mingapi? Manake kila saa moja zitapita gari 66 lolNi research ipi umefanya ikakufanya uhitimishe kwa daraja lina impact ndogo sana kuliko gharama iliowekwa?
Basi na wewe tunakupokea kutokana na akili zakoHamn kuna sehem nmesoma nanukuu "KUNA MDA INABIDI MTU APOKEWE ACCORDING TO AKILI ZAKE "
Infrastructure ni barabara pekee?
Tuendelee na discussion.
Kama umekaa hapa kusubiri uletewe kila kitu endelea kusubiriNi wajibu wako kuthibitisha arusha iko mbele ya mwanza ki-infrastructure.
Nanukuu ulichocomment "Infrastructures, housing,planning, industrial areas, social services"
Hata zinazovushwa kwa ferry kwa saa tu zimezidi hiyo idadi uliotajaSasa gari 1600 kwa saa 24 zitarudisha izo tshs 700B kwa miaka mingapi? Manake kila saa moja zitapita gari 66 lolView attachment 2526591
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Iyo ni taarufq ya tanroadHata zinazovushwa kwa ferry kwa saa tu zimezidi hiyo idadi uliotaja
Hio sabab inatosha kumshawish mtu mwenyew akili timamu kukubali JP BRIDGE ni sawa kujengwa.Sasa gari 1600 kwa saa 24 zitarudisha izo tshs 700B kwa miaka mingapi? Manake kila saa moja zitapita gari 66 lolView attachment 2526591
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Ilijengwa kimahaba zaidiHio sabab inatosha kumshawish mtu mwenyew akili timamu kukubali JP BRIDGE ni sawa kujengwa.
Kuna vitu hufanyika kwa ajili ya maslahi ya wananchi, maslah ya wananchi ni maslah ya nchi.Daraja halijajengwa ili lirudishe pesa pekee View attachment 2526619
Uthibitisho unao au umeropokwa?[emoji23]
Kashakufa yuleHyo mipango sio kitu Cha kushangaza ..Kwa sababu hata mwanza itajengwa dual carriage ya kutoka Usagara Hadi geita km 50,,,na kutoka town Hadi njia panda ya kuelekea kahama km 55 .
Kutoka town Hadi nyanguge km 35 na ..
JUMLA ya km 140 dual carriage.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta picha nilipost mbili tu chali mpaka leo sioni alienigusa, moto mkaliWatu wa Arusha wamebakiza maneno [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] picha zimeisha wakati Mwanza Ndio kwanza zingine nyingi bado hawajarusha jaman
Mwanza tunatakiwa kulinganisha na Rwanda jamani
Nani aliyekuambia daraja limejengwa Kwa ajili ya biashara... infrastructure ni service,,,acha uhuni