Busan
JF-Expert Member
- Aug 19, 2022
- 644
- 736
Ata msihangaike kumquoteHuyo fala kaset outo reply [emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata msihangaike kumquoteHuyo fala kaset outo reply [emoji3][emoji3]
Wewe hizo takwimu ziko wapi zaidi ya kupanic?Mmekua watu wa mdomo sana,hamna takwimu ama picha inasikitisha sana
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Bora hata wengine,wewe umetuma nini zaidi ya emoji za kujichekesha tuWao wanashindana na sisi wakati sisi tunashindana kimataifa. Hahaha sisi hatunaga mbambamba,wakituma picha wanatuma picha za samaki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ona hawa wapagazi wa mabegi ya wazungu halafu wako proud kabisa.Kwa akili hizi umaskini utawatafuneni mpaka mwisho wa dahari.Endeleeni kuwa wapagazi hivyo hivyo wakati vijana wa Mwanza wanaisaka pesa kwa biashara za kueleweka tena kubwa kubwa.Asee kwaiyo picha kwako ndio udhibitisho unaotaka..yani huku wazungu ni kama kwao, western culture yani Chugga kama mbele vile. Tokeni kidogo muje kutembea wasukuma hawarudi kwao kabisa
Tunaongelea Arusha hapa,battle ni Arusha vs Mwanza au unataka tuigeuze iwe Kanda ya Ziwa vs Kaskazini?Sisi jadi yetu ni kutafuta hela hatutegemei uvuvi wa dagaa ndio tuishi. Kaskazini tuko kila kona ya nchi hii
Chugastan utadhani upo mitaa ya Kibera [emoji3][emoji3]😛 [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] Thithiiii tunatokea Arushaaaa
![]()
Ha ha ha ha,thithi chalii wa chuga tunamlilia Mama Samia atutengenezee bonge la stendIyo stand ipo kwa muda tu siku siyo nyingi litashushwa bonge la stend
Hujawahi niangusha Fact to FactGeographic size ya mwanza ni ndogo ,,,hamna barabara ya lami kuu inayovuka km 100 hujaingia mkoa mwingine...
Mwanza Hadi mpaka wa shinyanga ni km 102
Mwanza Hadi mpaka wa simiyu ni km 65
Mwanza Hadi Mpaka wa geita ni km 70
Wakati ARUSHA
Arusha Hadi minjingu manyara border ni km 120
Arusha Hadi namanga border ni km 150
Arusha Hadi Kilimanjaro border ni km 40
Ukijumlisha hapo ,,,utagundua kuwa barabara kuu huamuliwa na ukubwa wa mkoa ...
Leta takwimu za barabara za mikoa, wilaya na za TAMISEMI
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hii si afadhari hata mitaa ya Mabatini na Igogo.
Bora wewe umeamua kukubali yaishe na ukatujia na mistari ya vina [emoji3][emoji3]Chuga sio majengo ni lifesyle, $ dola, madini, chakula mzuriii, watalii kibao...mwanza kitu gani..hakuna pesa...hakuna matajiri wanaoweza tupa pesaa... ubabe wa kutosa.. watoto wakali.. mwanza ni maushamba tuu... chaga !! Ni balaaa...
Haya basi hizi hapa Villas za Njiro [emoji3][emoji3]Ndio maana hupost nyumba moja moja na sio picha ya juu, [emoji1787][emoji1787]
Walimchukia Magu ila yule jamaa angekuwa hai hii stendi yao ingekuwa inajengwa sasa, kwa staili ya serikali ya sasa itajengwa ila taratibu au ikatelekezwa kama ya moshi.Ha ha ha ha,thithi chalii wa chuga tunamlilia Mama Samia atutengenezee bonge la stend
Kwa hyo Zanzibar haioni ndani Kwa nyasubi kahama [emoji28][emoji28]Serikali na Dunia inatambua hivi. Tunaomba rank izingatiwe jamani. Hii sio vita ni facts tu.
View attachment 2526070
Wametumia kigezo cha 2012 census, wakitoa rank za mwaka 2022, hata Tanga inaweza ikashuka 😀Kwa hyo Zanzibar haioni ndani Kwa nyasubi kahama [emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣Kweli ni mwehu kuzunguka mjini na smartphone kupiga picha magorofa ya watuMwehu
Ghana ya moto sana, Njiro ikasome, yaaani warudi Chekechea kwa GhanaMimi huwa napenda picha.
Leo tuko kirumba, maeneo ya Ghana, Nyamanoro nk.
View attachment 2526131
View attachment 2526132
Nimeangalia picha za njiro na nyumba zake iko overratedGhana ya moto sana, Njiro ikasome, yaaani warudi Chekechea kwa Ghana
Naishi Njiro, Lekaranga kiangazi vumbi, masika tope.Nimeangalia picha za njiro na nyumba zake iko overrated