Excuse wapi?kwahyo nani yuko mbele ya mwingine?Acha ujingaExcuses as normal. 2022 ni mwaka ambao watalii walikuja weng ila mmedrop
Sa hv tourism sector sio centralized kama zamani kuwa Kila kitu Arusha ... maeneo mengine ya utalii yanazidi kupata momentum,,kama Zanzibar, mwanza, Kilimanjaro, Morogoro,na iringa..Ila sounaona tourism industry imerudi relini kwahyo mambo yanazidi kua sawa
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Utalii siku zote Zanzibar inaongoza sema wewe hapa umekurupuka tuSa hv tourism sector sio centralized kama zamani kuwa Kila kitu Arusha ... maeneo mengine ya utalii yanazidi kupata momentum,,kama Zanzibar, mwanza, Kilimanjaro, Morogoro,na iringa..
Habari za Arusha zinapitwa na wakati kama huamini subiri baada ya miaka 5 ..
Zamani AICC ilikuwa inawabeba lakin sa hv baada ya kufunguliwa Kwa JNICC , mikutano mingi inaishia dar ,,, dodoma na wao wanajenga conference center kubwa ,the same applies to Mwanza..
Sent using Jamii Forums mobile app
Adventure,,, majestic creation [emoji91][emoji91]Utalii siku zote Zanzibar inaongoza sema wewe hapa umekurupuka tu
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Sawa naona iringa iko mbele yenu pia. Kwaio wamewazid uchumi?Excuse wapi?kwahyo nani yuko mbele ya mwingine?Acha ujinga
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kawaida sana, ndio maana tunawaona washamba.
Iyo ndio maana yake...ushawahi kufika Iringa?Sawa naona iringa iko mbele yenu pia. Kwaio wamewazid uchumi?
We pwagu basi mjanja falaKawaida sana, ndio maana tunawaona washamba.
Health system Mwanza Iko million miles ahead of Arusha [emoji28][emoji28][emoji28]Iyo ndio maana yake...ushawahi kufika Iringa?
Pota pale mafingq ujionee watu wanavyotengeneza pesa kijana
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Unasema health system alafu umejikita Bugando?health system ni kuanzia chini kabisa hadi juu...Hata ivyo kwa Arusha hakuna Hospital kubwa ya kufanana na Bugando ilo liko wazi...Health system Mwanza Iko million miles ahead of Arusha [emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo unaweza ukafananisha na empire tu? Bado the hub, kipong? Tena kwenye bata ndo asijaribu yani, sijui ma club sijui nini, mwanza tulizeni kipago. Tuliotoka dar tunajua.We pwagu basi mjanja fala
Kwan takwimu za sensa hujaziona...au hujui kuwa uwepo wa taasisi kubwa ya afya ndio kuimarika Kwa taasisi ndogo zinazozunguka eneo husika.Unasema health system alafu umejikita Bugando?health system ni kuanzia chini kabisa hadi juu...Hata ivyo kwa Arusha hakuna Hospital kubwa ya kufanana na Bugando ilo liko wazi...
Tupekue kuanzia chini hadi juu ambako ndio wanahudumiwa 99% ya wagonjwa
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Bata gan mlilonalo ,,,,au shivazi [emoji28][emoji28].. mwanza unapata Kila burudani unayoitaka ,,,,,, nitajie resorts 3 Kali hapo Arusha nilefts Uzi [emoji28]Sasa hapo unaweza ukafananisha na empire tu? Bado the hub, kipong? Tena kwenye bata ndo asijaribu yani, sijui ma club sijui nini, mwanza tulizeni kipago. Tuliotoka dar tunajua.
Iyo sio kweli kijana, Unafahamu Arusha kuna hospital nyingi kuliko Mwanza? Bugando ni tertiary Hospital ambayo inahudumia only 1% of population twende huko chini ambako ndio wamahudumiwa wananchi wengiKwan takwimu za sensa hujaziona...au hujui kuwa uwepo wa taasisi kubwa ya afya ndio kuimarika Kwa taasisi ndogo zinazozunguka eneo husika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nimekuambia report ya sensa hujaona mwanza Ina vituo vingapi vya afya .. hospital,zahanati nk .....Iyo sio kweli kijana, Unafahamu Arusha kuna hospital nyingi kuliko Mwanza? Bugando ni tertiary Hospital ambayo inahudumia only 1% of population twende huko chini ambako ndio wamahudumiwa wananchi wengi
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kama unayo shareNdio nimekuambia report ya sensa hujaona mwanza Ina vituo vingapi vya afya .. hospital,zahanati nk .....
Imeiacha mbali Arusha
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28]we si ulisema tuangalie chini waliko watu wengi ...watu wengi wapo kwenye zahanati na vituo vya afya ...
Unaendelea manake bado.[emoji28][emoji28]we si ulisema tuangalie chini waliko watu wengi ...watu wengi wapo kwenye zahanati na vituo vya afya ...
Hata hvyo gap la hospital tatu tayari limezibwa
Ujenzi wa hospital kubwa 3 unaendelea mjini hapa .
[emoji116]
Moja wapo ni hii .ROYAL HOSPITAL AND CARE[emoji28]View attachment 2528887View attachment 2528888View attachment 2528889
Sent using Jamii Forums mobile app