Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Mwanza kuna maendeleo gani wakati takwimu zinaonesha ninyi ni masikini munaishi kwa misaada ya serikali.?!
Misaada ya serikali ipo kwenu we KIBOGA. kwanza Arusha has nothing to do with tourism. Mmependelewa sana. Kuna Nini kinaweza kumleta mtalii Arusha. Asiende Kilimanjaro, manyara na Mara?. HQ kibao zipo Arusha kwa upendeleo tu lakini pamoja na hayo mko wapi?. Unapoongelea suala upendeleo wa serikali lazima uwe unawaza siyo kukurupuka. Nyie na Dom ndo vinara wa kupendelewa. Nina weza kukutajia majengo ya taasisi za kiserikali na asasi zingine kwenye mkoa wenu halafu upige hesabu ni kipi nyinyi kama residents mmefanya kwa mkoa wenu. Centre ya tourism haikupaswa kuwa Arusha ihali hamna kivutio chochote Cha maana.
 
Misaada ya serikali ipo kwenu we KIBOGA. kwanza Arusha has nothing to do with tourism. Mmependelewa sana. Kuna Nini kinaweza kumleta mtalii Arusha. Asiende Kilimanjaro, manyara na Mara?. HQ kibao zipo Arusha kwa upendeleo tu lakini pamoja na hayo mko wapi?. Unapoongelea suala upendeleo wa serikali lazima uwe unawaza siyo kukurupuka. Nyie na Dom ndo vinara wa kupendelewa. Nina weza kukutajia majengo ya taasisi za kiserikali na asasi zingine kwenye mkoa wenu halafu upige hesabu ni kipi nyinyi kama residents mmefanya kwa mkoa wenu. Centre ya tourism haikupaswa kuwa Arusha ihali hamna kivutio chochote Cha maana.
We unawazimu sio bure,Sasa Mwanza ulitaka mpendelewe na mko usingizini? Watu milion tatu naa mnazidiwaje uchumi na watu milion 2

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
We unawazimu sio bure,Sasa Mwanza ulitaka mpendelewe na mko usingizini? Watu milion tatu naa mnazidiwaje uchumi na watu milion 2

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
[emoji23]
Screenshot_20220806-172706_Chrome.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwaio ukaona pakubadirisha ni kweny watu tu ila kweny GDP hukuona.

12+T ÷3+M =3.43~3M [Mwanza[emoji3595]]


8+T ÷ 2+M =3.46~3M [Arusha[emoji3596]]
Ila sounaona tourism industry imerudi relini kwahyo mambo yanazidi kua sawa

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom