Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Hivi nyie mademu wa arusha mnashida gani?[emoji3]Washamba mmepigwa kwenye mshono [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mmeanza kuona mall juzi tena moja tu ndio mje mjilinganishe na arusha kweli? [emoji1787] Shamba city boys bana.
Mme wako anashida sanaMwanza is a waste of energy and time. Hakuna mwekezaji smart ataenda sehemu ipo backward hivo. Mtabaki na pagala. Karibu kili marsthon huku utoe ushamba.
Sasa hapa sio ulaya hapa ni arusha....Washamba mmepigwa kwenye mshono [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mmeanza kuona mall juzi tena moja tu ndio mje mjilinganishe na arusha kweli? [emoji1787] Shamba city boys bana.
Rudi kwenu sasa[emoji3]Naona mnawadanganya ambao hawajafika mwanza bhana[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Iyo mall sasa hivi imegeuzwa madarasa ya wanafunzi kwa kukosa tenants.....mda si mrefu wataweka na hostel kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
Hio picha mbona umeicrop [emoji1787]Sasa hapa sio ulaya hapa ni arusha....
Na hilo jengo floors 7 zilizojitenga ni mall ya kimataifa alafu arusha wala haturingi vitu vya kawaida sana[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 2531029
yes tulihitaji haya mambo na sio matusi.Sasa hapa sio ulaya hapa ni arusha....
Na hilo jengo floors 7 zilizojitenga ni mall ya kimataifa alafu arusha wala haturingi vitu vya kawaida sana[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 2531029
We ka jamaa admit tu umeshindwaπ€£π€£π€£ Umehamia kwenye comments za ki comedy comedy π€£π€£π€£Anayo Arusha 3 na mwanza anayo 1.watu wanajua kutafuta pesa
Mnapost post mijengo ya wanaume tu
Wewe kavue dagaa huko π€£π€£
Wanaotukana ni watu wasio na hoja na wasiojua hapa hakuna uadui tunataka miji yetu yote iendeleeyes tulihitaji haya mambo na sio matusi.
Dawa imepenya π€£π€£Mme wako anashida sana
Mabasi yanayofika hapo class yake mwanza hamna. Alafu who cares about stand yani? Tatizo watu wa mwanza wanataka stand ili wakapige picha, wakashinde hapo siku nzima, yani ushamba ushamba tu.Rudi kwenu sasa[emoji3]View attachment 2531033
Tupia picha basi hizo za kwenu ili sisi washamba tujifunzeUna maliza MB kwa kujiaibisha kabisa. Kama hapo unaona ni pa maana basi kweli mnazidi kuaminisha umma nyie bado ni washamba sana.
Halafu sina Mb za kudunduliza nina unlimited data.Una maliza MB kwa kujiaibisha kabisa. Kama hapo unaona ni pa maana basi kweli mnazidi kuaminisha umma nyie bado ni washamba sana.
Naona hata wewe umepost bila kuelewa, ukiacha dar hakuna mkoa mwingine unaizidi pwani kwa viwanda.Taarifa nyepesi kama ile umeshindwa kuielewa kweli?
Yaani iyo ndio mikoa ambayo inaviwanda vingi kwa kifupi...Sasa Mwanza jiji la pili kwa ukubwa linakuaje halina viwanda?unajua nikisema mm mtasema nawatukana
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Ulichopost hujakielewa, ngoja nikueleweshe, yaani ni hivi kiwanda kinaweza kuwa kiko mza ila wafanyakazi wake wengi kiasili ni wa hiyo mikoa tajwa.
Kashindwa kuelewa hii taarifaHii takwimu yako inaelezea wingi wa vibarua au viwanda mbona uliyetuletea pia hujui umetuma nini
Mwanza imepata mall before Arusha, sasa ni yupi aliyeona juzi kama sio arushaWashamba mmepigwa kwenye mshono π€£π€£π€£ mmeanza kuona mall juzi tena moja tu ndio mje mjilinganishe na arusha kweli? π€£ Shamba city boys bana.
Acha ujinga kijanaUlichopost hujakielewa, ngoja nikueleweshe, yaani ni hivi kiwanda kinaweza kuwa kiko mza ila wafanyakazi wake wengi kiasili ni wa hiyo mikoa tajwa.
Ni sawa na niseme zaidi ya nusu ya wadada wa kazi wanatoka mikoa ya singida, manyara, arusha
Acha kuruka ruka kama maharage jikoni. Kama hujui umuhimu wa kuwa na stand za kisasa Kaa kimya. Na stand Bora zinajengwa kwenye miji na majiji ya kisasa mpuuzi mmoja wewe. Mnazidiwa na sumbawanga, singida na korogwe kwenye suala hili.Mabasi yanayofika hapo class yake mwanza hamna. Alafu who cares about stand yani? Tatizo watu wa mwanza wanataka stand ili wakapige picha, wakashinde hapo siku nzima, yani ushamba ushamba tu.