Kwa akili yako unafikiri viwanja vyao Arusha hatuvijui mpaka shupaze shingo kutudanganya hapa?Sababu ni vitu vya kawaida sana arusha, nobody is thrilled, hatushtuki ndio maana ata picha hatupigi. Ila sasa mwanza bado mpo kwenye phase ya wow kwa kila kitu, mmeanza kuona hivo vitu jana tu. WASHAMBA, google basi ata arusha kwenye travel advisor au booking.com, au nenda directly kwenye google uandike chochote. Au kama unapenda sana picha ingia instagram mkatolewe tongotongo. Washamba wa Mwanza, ndio maana mnadharauliwa nchi nzima. Ukisema tu unatoka mwanza tayari wanajua hakuna maajabu.