Itachukua Muda sana kumwaminisha mwanangu kuwa Nyakato na CBD ya Chuga vina muonekano almost sawa [emoji28]Arusha vs Nyakato Mwanza na hapa nyakato haionekani yote[emoji1787][emoji1787]
Nyakato ni kata ipo km 7 kutoka CDBView attachment 2534602View attachment 2534605
Wakasome kwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787] vs Nyamhongolo bus standView attachment 2535265
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] arusha ni kijiji kikubwa
Mbona ni jengo zuri sana? Au una shida gani?Architect wa Hilo jengo la posta Mungu anamuona ... design gan hyo ya kishamba,,[emoji28][emoji28]
Cbd ya chuga ni upuuz [emoji3]Itachukua Muda sana kumwaminisha mwanangu kuwa Nyakato na CBD ya Chuga vina muonekano almost sawa [emoji28]
Chuga wameizidi Mwanza Migomba na nyumba za topeCbd ya chuga ni upuuz [emoji3]
Vloggers wengi wa arusha ni unprofessional huko YouTube ni tatizoChuga wameizidi Mwanza Migomba na nyumba za tope
USHAMBA huo hamuendani na Radha ya mziki wa kisasa. Mavazi yenyewe mnayovaa club plus viatu na style yenu ya uchezaji mnavyobinua mitako basi mnajikuta wajanja. Watu wa kale nyie....Interest. Hatufati mkumbo, ata aina ya muziki tunaosikiliza ni tofauti.
Uzuri wake uko wapi ..Mbona ni jengo zuri sana? Au una shida gani?
Wewe kiboga umepewa stand na imegalagaza uwanja wa ndege kwa maana vitu mnavyotamba navyo huko ni vitu vidogo vidogo sana kwetu. Uwe unaelewa basi dogo.Mwanza bana, yani mnaushamba wa stand za mabasi
Watu wa zaman kweny karne ya 21 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].USHAMBA huo hamuendani na Radha ya mziki wa kisasa. Mavazi yenyewe mnayovaa club plus viatu na style yenu ya uchezaji mnavyobinua mitako basi mnajikuta wajanja. Watu wa kale nyie....
Nyumba ya mshua paqwa hiyoMarais wote wakubwa wamelala arusha[emoji3] hapa sijui analala nani?
Hii nyumba itakua ya kitalii next time akija Biden afikie hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2535324
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Residential Apartment in ArushaView attachment 2534050
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Apartment [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] arusha imechoka imechakaa imepauka View attachment 2535337
Posta HQ ya zamanMarais wote wakubwa wamelala arusha[emoji3] hapa sijui analala nani?
Hii nyumba itakua ya kitalii next time akija Biden afikie hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2535324
Wape na hizi, washamba wasishangae ni vitu vidogo sana kwa Arusha. Waambie washamba wa mwanza wasivue viatu hapo 👇👇
Kila siku ni kuzungusha angles za haka ka picha 🤪🤪Uzuri wake uko wapi ..
Ukilinganisha na hili litatoboa kweli.?[emoji28][emoji28]View attachment 2535308