OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Ivi unajua wasukuma wakija Town hawataki kurudi tena uko shamba?!Sema umeishiwa picha za kupost kwakuwa sehemu zote mmeshacover.
Sasa mbona mukizidiwa minaishia kutukana. Eti kwanini waskuma wakija Town hawataki kurudi kwao shamba?Unaulizia katambi aliyekubebesha mimba, leta evidence shusha picha maneno mengi ni ujinga na kukosa akili.
Tunawaonea huruma wanajikutakuta yani. Wangejua tuna vitu, na mdomo na matusi ndio balaa zaidi. Chezea watoto wa town. Yani hao mwanza kila kitu kwao ni kigeni ndio maana kutwa picha, mi nawawekeaga moja kwa kubeep ila kila nikiweka wanapoteanaπ€£π€£ wazungu wanasema dumbstruck. Kwa akili yao wanadhani kuna mtu nje ya mwanza anapaona pa kijanja. Wajipe moyo na wakithubutu natoa makombora, kuna kizebwere kimeweka picha za Freetown, Sierra Leone kakadhani sisi washamba wenzao hatuijui mwanza.Sasa mbona mukizidiwa minaishia kutukana. Eti kwanini waskuma wakija Town hawataki kurudi kwao shamba?
Wakagundue nini labda? π€£π€£Ivi unajua wasukuma wakija Town hawataki kurudi tena uko shamba?!
[emoji116]View attachment 2538933Matusiii hahaaa mwanza hawana 5G, [emoji1787][emoji1787][emoji1787] washambaa sisi kama mbele, nyie kapigeni picha kwenye madaraja na rock city mall [emoji1787][emoji1787]
Town ndo arusha acha utani basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Njoo uone wakina kimaro walivyoweng hukuIvi unajua wasukuma wakija Town hawataki kurudi tena uko shamba?!
Na kwann wakina kimaro wakija town hawatak kurudi bush?Sasa mbona mukizidiwa minaishia kutukana. Eti kwanini waskuma wakija Town hawataki kurudi kwao shamba?
Vitu gani bana. Zaid ya ofis za tourism company mnanin cha ziad au [emoji116]Tunawaonea huruma wanajikutakuta yani. Wangejua tuna vitu, na mdomo na matusi ndio balaa zaidi. Chezea watoto wa town. Yani hao mwanza kila kitu kwao ni kigeni ndio maana kutwa picha, mi nawawekeaga moja kwa kubeep ila kila nikiweka wanapoteana[emoji1787][emoji1787] wazungu wanasema dumbstruck. Kwa akili yao wanadhani kuna mtu nje ya mwanza anapaona pa kijanja. Wajipe moyo na wakithubutu natoa makombora, kuna kizebwere kimeweka picha za Freetown, Sierra Leone kakadhani sisi washamba wenzao hatuijui mwanza.
Tunakuja kupinga juhudi. Wenyew wanakwambia tourist destination. Nearest city to serengeti national park unaenda ata kwa miguu [emoji23].Wakagundue nini labda? [emoji1787][emoji1787]
Wapo kila mahali hao ata nyakanazi, tandahimba utawakuta, hiyo sio issue.Na kwann wakina kimaro wakija town hawatak kurudi bush?
Unatia huruma sana. Hivi unajua tourism industry ya bongo jinsi ilivyooota mizizi arusha? Southern circuit yenyewe tour operators ni wa arusha, na ata huko mwanza watakuja, hakuna kima mwanza anaweza shindana na hospitality ya Arusha.Tunakuja kupinga juhudi. Wenyew wanakwambia tourist destination. Nearest city to serengeti national park unaenda ata kwa miguu [emoji23].
Soon cake ya utalii itagawanwa ndo mtajua hamjui. View attachment 2538943
Tuna kila kitu kasoro ofisi za ushamba. Hizo mwanza zipo sana.Vitu gani bana. Zaid ya ofis za tourism company mnanin cha ziad au [emoji116]View attachment 2538942
Naona unabeef na patrobas katambi. Mskuma mwenzio π€£π€£Vitu gani bana. Zaid ya ofis za tourism company mnanin cha ziad au [emoji116]View attachment 2538942
Na bandari mnayo ?Tuna kila kitu kasoro ofisi za ushamba. Hizo mwanza zipo sana.
Umeishiwa cha kupost,tundika daruga achia wengine waendelee kujitutumua.Chugo boys chaliiiIvi unajua wasukuma wakija Town hawataki kurudi tena uko shamba?!
Blah blah blah,acha taarab leta picha hapa,kamji kote mmeshakamaliza hamna jipya.Usione aibu leta hata zile nyumba za miti na udongo tunajua zipo hapo mjiniTunawaonea huruma wanajikutakuta yani. Wangejua tuna vitu, na mdomo na matusi ndio balaa zaidi. Chezea watoto wa town. Yani hao mwanza kila kitu kwao ni kigeni ndio maana kutwa picha, mi nawawekeaga moja kwa kubeep ila kila nikiweka wanapoteana[emoji1787][emoji1787] wazungu wanasema dumbstruck. Kwa akili yao wanadhani kuna mtu nje ya mwanza anapaona pa kijanja. Wajipe moyo na wakithubutu natoa makombora, kuna kizebwere kimeweka picha za Freetown, Sierra Leone kakadhani sisi washamba wenzao hatuijui mwanza.
Tena hata December siku hizi hawaendi Migombani City,wapo tu wameng'ang'ania Rock CityTown ndo arusha acha utani basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Njoo uone wakina kimaro walivyoweng huku
ππππVitu gani bana. Zaid ya ofis za tourism company mnanin cha ziad au [emoji116]View attachment 2538942
Mlima mnao? Bandari tunatumia ya tanga au dar yenu haina msaada kwanza haina connection na nchi za nje, ya nini labda?Na bandari mnayo ?
Nimeweka hakuna aliecomment mmeingia mitini. Mpaka mkaanza kuleta za nchi za watu, hivi shamba city nani anawajaza maji kichwani? Nyie mpo wengi tu ila hakuna lolote mnaizidi Arusha zaidi ya population, dodoma inawazidi kwa urbanisation.Blah blah blah,acha taarab leta picha hapa,kamji kote mmeshakamaliza hamna jipya.Usione aibu leta hata zile nyumba za miti na udongo tunajua zipo hapo mjini