Wakishatoka huko migombani hawatamani tena kurudi,wanaweka na makazi ya kudumu kabisa Mwanza.Ila hawajiiti wachaga wanajiita wasukuma, wakurya, wahaya, wahangaza na makabila meng ya lake zone. Na saiv December hawarudi migomban city usweken republic [emoji41]
Wewe Jana umesikia Waziri wa Ujenzi Jana amesema Njia 4 zitajengwa kuanzia Kisongo Hadi Arusha na Wana review design mda wowote ujenzi utaanza maana pesa zipo.Kama kuna kitu huwa inataka kuwatoa roho ni hili daraja [emoji23][emoji23][emoji23]
Matokeo ya sensa ni kitu gani arusha ilichoizid Mwanza hivi huwa unajielewa, we utakuwa ni mjane sio bure.Kama wewe ni mpumbavu Baki hivyo hivyo na upumbavu wako sio jukumu langu maana matokeo ya sensa yapo na wewe unajua.
Huyo ndio asha ndala ndefu wa arusha unga limited.Chuga Boy gani wewe umejaa taarabu kama wadada wa Tandika? Weka picha hizo ngonjera zako unakaa unarudia rudia hazina maana.
Nani kasema Arusha imezidi Mwanza? Point ni kwamba idadi ya watu unayoitaja Mwanza ni haipo.Matokeo ya sensa ni kitu gani arusha ilichoizid Mwanza hivi huwa unajielewa, we utakuwa ni mjane sio bure.
Unakuwa na mtoto mdogo hizo ahadu ata sengerema walishaahidiwa sana tu tena njia sita yapata miaka 7 sasa na hakuna lolote, sisi watu wa kanda ya ziwa tunapenda zaidi vitendo kuliko maneno leta huo ujenzi au tender iliyotangazwa hapo niondoke jf daima na milele, fala sana kama jina lako.Wewe Jana umesikia Waziri wa Ujenzi Jana amesema Njia 4 zitajengwa kuanzia Kisongo Hadi Arusha na Wana review design mda wowote ujenzi utaanza maana pesa zipo.
Sasa.kadraja hako na Hilo Barabara kipi Cha maana?
Arusha sio sengerema Wala Jiji la wavuvi.Unakuwa na mtoto mdogo hizo ahadu ata sengerema walishaahidiwa sana tu tena njia sita yapata miaka 7 sasa na hakuna lolote, sisi watu wa kanda ya ziwa tunapenda zaidi vitendo kuliko maneno leta huo ujenzi au tender iliyotangazwa hapo niondoke jf daima na milele, fala sana kama jina lako.
Nyamagana plus Ilemela= Mwanza city= 1.54 milion people, utaki nenda kapige punyeto ukalale.Nani kasema Arusha imezidi Mwanza? Point ni kwamba idadi ya watu unayoitaja Mwanza ni haipo.
Miaka 10 Mwanza imeongeza watu 900k tuu Sasa,last sensa Wilaya 2 za hapo mjini zilikuwa na watu 700k so inawezekanaje Leo eti Kati ya 900k watu 500k waongeseke kwenye Wilaya 2 za Mjini ilikuwa na wakaazi 1,200k?
Maghorofa gani mnayo si ulete hapa tuone, mtaacha kudanganywa lini, sisi werevu tulishajua kwanini walitoa hizo takwimu za uongo na uzushi, na hiyo arusha haitaweza kugusa ata nusu ya maghorofa yaliyopo Mwanza ata Miaka 20 ijayo, endeleeni kulishwa matango pori.Arusha sio sengerema Wala Jiji la wavuvi.
Arusha ni Jiji la Kidiplomasia na Utalii ndio maana imewazidi magorofa
Kwani kunashindikana nini? Njoo utoe udumavu wa fikra.Nani kasema Arusha imezidi Mwanza? Point ni kwamba idadi ya watu unayoitaja Mwanza ni haipo.
Miaka 10 Mwanza imeongeza watu 900k tuu Sasa,last sensa Wilaya 2 za hapo mjini zilikuwa na watu 700k so inawezekanaje Leo eti Kati ya 900k watu 500k waongeseke kwenye Wilaya 2 za Mjini ilikuwa na wakaazi 1,200k?
Idadi ya majengo ya ghorofa, na vingine vingi sanaMatokeo ya sensa ni kitu gani arusha ilichoizid Mwanza hivi huwa unajielewa, we utakuwa ni mjane sio bure.
Linawauma. Watu wa dar wako kimya sabab wao lipo ila lingeanza kujengwa mwanza na jinsi wanavyopenda kila kitu kianzie kwao tungepigwa vita nchi nzima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama kuna kitu huwa inataka kuwatoa roho ni hili daraja [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Wanatam wangekuwa wao. Ila ndo hivyo wanamabwawa na migombaHii ndio kiboko yako ina thamani sawa na cbd yote ya Arusha[emoji23][emoji23][emoji23]
Ushoga ushogaHivi Chuga ina maana gani?... Naomba tafsiri yake na uhusiano wake na Arusha.
Daraja ndo linamaan kwetu.Dogo garama ya Hilo daraja ni six lanes 100km.Hii inatosha kuwaacha arusha bila unpaved road.Wewe Jana umesikia Waziri wa Ujenzi Jana amesema Njia 4 zitajengwa kuanzia Kisongo Hadi Arusha na Wana review design mda wowote ujenzi utaanza maana pesa zipo.
Sasa.kadraja hako na Hilo Barabara kipi Cha maana?
[emoji116]Arusha sio sengerema Wala Jiji la wavuvi.
Arusha ni Jiji la Kidiplomasia na Utalii ndio maana imewazidi magorofa
We mwanamke ni lijingaSisi umeambiwa hatujui kuvuka barabara? Kwanza nyie linawasaidia nini zaidi ya kwenda kushangaa na kupiga picha? [emoji1787]
Hivyo vingine vingi [emoji116]Idadi ya majengo ya ghorofa, na vingine vingi sana
Vingi kama ushoga, kuvuta bangi na kuvaa manguo over size.Idadi ya majengo ya ghorofa, na vingine vingi sana
Kama wadada wa arusha wote wapo kama paqwa siwez kula hiyo mizigo asee.We mwanamke ni lijinga