Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Embarrassment,umekosa cha kupost ndio maana unapost upuuzi
Hivi Arusha tukiamua kupost sehemu za luxury na escapades si watakufa hawa kwa ushamba, wanaweza andamana wakidhani sio Tanzania. Wameishiwa mpaka kuna lofa mmoja eti kapost Freetown ya Sierra Leone, sasa sijui hajui ku google au alifanya kusudi, maana ni mtu wa mwanza, ushamba upo kwenye DNA ndani kabisa.
 
Kwa hizo ata bagamoyo wanawazidi. Embu toa uchafu huo.
Kama Huna evidence ni bora ukaskip nlichopost sio lazima uniquote SAWA, maumivu yakizidi muone Dkt na sio kumalizia hasira zako kwangu
 
Embarrassment,umekosa cha kupost ndio maana unapost upuuzi
Kuliko kutoa povu ungeleta kitu kinachozidi hapo, nahisi tungeelewana otherwise Walozi wenzio wanakusubiri Sumbawanga so achia miji ya watu uwawahi wenzio Uchawini
 
Ata haifananii yani kumekaa shaghalabaghala, alafu ni SPA sio SPAR. ushamba mzigo. Mmechelewa sana vitu hivo, The arusha hotel wanafanya Spa tangu 1894 at the New Arusha hotel kenge wewe, saivi inaitwa four points by Sheraton, mwanza ni takataka tu kwa arusha. Ni mshamba tu au jitu lisilo na information ndio linaweza toa mishipa eti mwanza ipo juu ya Arusha , haitowai kutokea. Picha ukitaka tumia akili acha ushamba.
 
Ata haifananii yani kumekaa shaghalabaghala, alafu ni SPA sio SPAR. ushamba mzigo. Mmechelewa sana vitu hivo, The arusha hotel wanafanya Spa tangu 1894 at the New Arusha hotel kenge wewe, saivi inaitwa four points by Sheraton, mwanza ni takataka tu kwa arusha. Ni mshamba tu au jitu lisilo na information ndio linaweza toa mishipa eti mwanza ipo juu ya Arusha , haitowai kutokea. Picha ukitaka tumia akili acha ushamba.
 
Watasema ni Michigan [emoji28][emoji28]View attachment 2540419
Watakwambia 5 star hilo pagala hahaha, umekiona choo lakini? hahaaa. mwanza bana Arusha ndio waalimu wa hizi kazi.


Sasa na watu wa Arusha hapa wasemeje sasa ? Nipe sehemu mwanza kama haka kasehemu, na ni kakawaida sana Arusha, zipo chocho mpaka, mshamba yoyote wa mwanza aje hapa tu battle picha kwa picha ila asiwe yule kisebengo wa kuleta za freetown nitamuumbua.
 
Ukitumwa 5 star utaleta hili pagale ..[emoji706][emoji706]

Machimbo yapo mwanza unapata natural adventure,,,na lake breeze...sio hzo artificial pools zenu [emoji116]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] we bibi kichwa chako sio kizuri, hautaki picha unatuma picha,,, kwako wewe kutuma au kupiga picha ni ushamba wewe hizi picha umezitoa wapi?

Unarukaruka sana we binti haujatulia kama mkojo wa moniii
 
Mwanza ni juu milele [emoji3]
 
Hivi Paqwa ulishaolewa au bado naomba unijibu tu bila kinyongo.
 
Hivi Paqwa ulishaolewa au bado naomba unijibu tu bila kinyongo.
Mi mwanaume ujue, watu wa upinde mi sina muda nao, kama ungekuwa mwanamke sawa, lakini kwakuwa we ni mtu wa upinde pambana na hali yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…