Siku hiz hunaga hoja ....na huu Uzi hauwezi kuleta mabasi maana ndiko Huwa unakimbilia ,,,we Baki na njombe yako Arusha huiwezi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ndio umetafuta kichaka Cha kujifichia huko au siyo? [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Hakuna kitu Mwanza mnaiweza Arusha,that is just a shithole town
💉💉💉 Pole naona imepenya sana Ile unajifariji 😁😁Siku hiz hunaga hoja ....na huu Uzi hauwezi kuleta mabasi maana ndiko Huwa unakimbilia ,,,we Baki na njombe yako Arusha huiwezi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 2547451View attachment 2547452
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi ukawafananisha na mtu wa mwanza ata pale mjini kabisa.Kwamba, wale watu wa Sokon 1 na 2, Bangata, Sambasha, Kimnyak, Elerai, Sinon ni wajanja...?!
Nadhani hii ya kigogo inawafaa zaidi[emoji28][emoji28][emoji116][emoji382][emoji382][emoji382] Pole naona imepenya sana Ile unajifariji [emoji16][emoji16]
Hawayapendi hatari.Matokeo ya sensa baba 🤪🤪
Lema hawezi kuja Kupita tena Arusha anatapatapa tuu unless ccm wakosee kumpitisha mtu ambae hakubaliki.Nadhani hii ya kigogo inawafaa zaidi[emoji28][emoji28][emoji116]View attachment 2547457
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujaona hyo phrase ya mwisho .kuwa hakuna sehemu Duniani yenye miundombinu michafu na mibovu kama arusha [emoji28][emoji28]Lema hawezi kuja Kupita tena Arusha anatapatapa tuu unless ccm wakosee kumpitisha mtu ambae hakubaliki.
Ni.porojo za siasaHujaona hyo phrase ya mwisho .kuwa hakuna sehemu Duniani yenye miundombinu michafu na mibovu kama arusha [emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushahidi ni huh ... Arusha hii ,, mavumbi ya kutosha [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji116]Ni.porojo za siasa
Yaaani wanalinganisha Bwiru na Njiro ??? 😄 😄 😄 😄 Hata Kiseke ipo vizuri kuliko NjiroNimekuomba picha ya mtaa unaleta kajengo kamoja ,,,,[emoji28][emoji28][emoji28]...HIV Arusha hamna classic neighborhood .
hii inaitwa njiro Kwa msola [emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 2547106View attachment 2547108View attachment 2547109
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nyie si mnataka mijengo ?! Nimesema situmi sehemu za kishua na tuma picha za ushenzin tu amabazo zinalingana sana na hadhi ya Kwa kishua mwanzanUnatuma picha ya nyumba moja moja, tuma mtaa mzima
Sasa hiki nini?! Vitu vingine vya kutia aibuUshahidi ni huh ... Arusha hii ,, mavumbi ya kutosha [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji116]View attachment 2547485
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu nae sikuizi Hana mashiko mtu mwanaume gani unakuwa huna misimamoNadhani hii ya kigogo inawafaa zaidi[emoji28][emoji28][emoji116]View attachment 2547457
Sent using Jamii Forums mobile app
Arusha ni jitu kubwa sana, huko labda ni mwishoni kabisa maana ata sisi atowners hatupajui hapo.Ushahidi ni huh ... Arusha hii ,, mavumbi ya kutosha [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji116]View attachment 2547485
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongea sana..ila vitendo hamnaMwanza ni moja ya mikoa wanawake wanaongoza kumiliki nyumba, tafsiri yake ni kuwa kuna wanaume wajinga sana. Mwanza inaizidi Arusha idadi ya watu, tafsiri yake ni kuwa hawajui uzazi wa mpango, ni wajinga.
wazembe, all in all ni uzembe.
Arusha pamoja na kuwa na idadi ndogo ya watu kuliko mwanza, inaizidi kwa idadi ya nyumba za ghorofa, huduma za kidiplomasia, uwiano wa hospitali kwa eneo, na uwiano wa hospitali kwa idadi ya watu. Arusha inaongoza kwa idadi kubwa ya majengo ya ghorofa, hoteli za viwango na ujenzi wa kisasa. Arusha ni modern city, mwanza sio modern city. Mwanza bado wapo kwenye phase ya kushangaa maana vitu vimechelewa kuwafikia. Battle ya mwanza na arusha sio sawa. Labda mwanza na dodoma au tanga ambazo kimsingi zilikuwa au zipo mbele ya mwanza ukitoa population.
Sasa nyie si mnataka mijengo ?! Nimesema situmi sehemu za kishua na tuma picha za ushenzin tu amabazo zinalingana sana na hadhi ya Kwa kishua mwanzan
Acha utani aisee, yaani wale watu wa Mwandeti, Losikito, Olkokola huko Oldonyosambu, Olkajolendiriti, Lemanda ni wajanja...?!Huwezi ukawafananisha na mtu wa mwanza ata pale mjini kabisa.
Sasa mtu wa huko ukimchukua na ukamchukua mtu wa mwanza nani atakuwa ame elimikaAcha utani aisee, yaani wale watu wa Mwandeti, Losikito, Olkokola huko Oldonyosambu, Olkajolendiriti, Lemanda ni wajanja...?!