Qualitycontrol
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 777
- 498
Nyasaka [emoji95]Mijengo kama mijengoView attachment 2548549
Screenshot hizo post nifute account yangu ya jfMikdade na kitombile
Ata = hataYani hapo sasa si pamezidiwa ata na tengeru [emoji1787][emoji1787] nini hicho? Nyumba zenyewe mbili, mwanza wanatia huruma, yani mtu anatamba na hiyo takataka kabisa? [emoji1787]
Ukija na hii style utaumbuka,hii nyumba wana actia watu wa tamthilia ya Jua kali.Hebu lete vizuri picha ya hapo mbele.Tutakuumbua ukiwa unatuletea mijengo ya DarMijengo kama mijengoView attachment 2548549
Haibadilishi matamshi ngosha, tofauti na nyie wa R na L, balabala, lafiki. Totally nuts.Ata = hata
[emoji3][emoji3] huyu jamaa ni muongo sanaUkija na hii style utaumbuka,hii nyumba wana actia watu wa tamthilia ya Jua kali.Hebu lete vizuri picha ya hapo mbele.Tutakuumbua ukiwa unatuletea mijengo ya Dar
Hakuna neno 'ata' ni linatamkwa 'hata' unajifanya mjuaji wa kukosoa uandishi wa wengine wakati hata wewe matumizi sahihi ya herufi huyafahamu.Haibadilishi matamshi ngosha, tofauti na nyie wa R na L, balabala, lafiki. Totally nuts.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Siku nyingine usirudie kudanganya watu.Nyumba yenyewe hii hapa na mpangaji anaeishi hapo kwa sasa ndiyo huyo.View attachment 2547934View attachment 2547935
Tatizo anadhani tunaosimama na Mwanza hatupo hapa Dar.Nakwenda nae sambamba,mwache aendelee kujichanganya tu nitakuwa namuumbua.Hana muda mrefu ataanza kutuletea nyumba za Ununio na Mbweni JKT [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] huyu jamaa ni muongo sana
Maneno bila evidence kwangu ni sawa na UzwazwaSijawai kukataa. Mwanza kitu pekee inaizidi Arusha ni wingi wa mazuzu. Kweli yanazaa hayo mashamba. Ila vingine vyote wanazidiwa na Arusha tena mbali sana.
Hujafika kwa maana Huna Nauli au hujafika kwamba ni mbali?
Mimi nawewe nani wakuumbuka?! Tatizo unajifanya kila kitu unajua wewe ....hapa nani kaumbuka ...kama uwezi changia kaaa kimyaaaaMijengo kama mijengoView attachment 2548549
Ongea Tena bumbaaavu shida unajifanya mjuaji na hakuna unachojua we ungekaa kimya tuUkija na hii style utaumbuka,hii nyumba wana actia watu wa tamthilia ya Jua kali.Hebu lete vizuri picha ya hapo mbele.Tutakuumbua ukiwa unatuletea mijengo ya Dar
Nyasaka [emoji95] [emoji95]Mijengoo Ni Arusha na Mijengoo haya mjuajii njoo useme hizi zimechezewa JUAKALI ya DSTVView attachment 2549132View attachment 2549135View attachment 2549136View attachment 2549138
Mbona Arusha pia mnapenda R maneno mengi ya L mnaweka RHaibadilishi matamshi ngosha, tofauti na nyie wa R na L, balabala, lafiki. Totally nuts.
Kama maneno ganiMbona Arusha pia mnapenda R maneno mengi ya L mnaweka R
Mijengo kama mijengoNyasaka [emoji95] [emoji95]
Mimi nakuletea picha za sehemu moja hadi uchoke mapafu[emoji1787][emoji1787]View attachment 2549143