Mkuuu Hii ni picha 2000 inatumwa na watu tofauti ..minamana hamna ghorofa lingine la kujivunia naloo[emoji23]
Hilo ndilo jengo nzuri hapa Tanzania ukiitoa dar kama vipi weka jengo classic kama hilo kutoka hapo arushaMkuuu Hii ni picha 2000 inatumwa na watu tofauti ..minamana hamna ghorofa lingine la kujivunia naloo[emoji23]
Mkuuu Hii ni picha 2000 inatumwa na watu tofauti ..minamana hamna ghorofa lingine la kujivunia naloo[emoji23]
Kuna lile La posta hamn mchanga ajatuma [emoji23][emoji23][emoji23].So relaxMkuuu Hii ni picha 2000 inatumwa na watu tofauti ..minamana hamna ghorofa lingine la kujivunia naloo[emoji23]
Mbna unapost lemutuz mtu wa dar ni mwanahabar online hivo post za hko kwenu arushaMagari ya kifahari kama haya utayapata Arusha tuView attachment 2549716
Kila nikikukamata na uwongo wako unapotea.Bora hata wenzio wanajitahidi kuliko wewe,punguza uwongo.Zile za kinondoni na Salasala nimekuwekea,ukakimbia [emoji3][emoji3].Naingia chimbo sasa hivi nikuumbue tenaMijengoo Nyamizii Mjuaji njooo Hizi zime actiwa JUA KALI[emoji23]View attachment 2549556View attachment 2549557
Ni asili Yao ujuaji na ulimbukeni ila ukweli wanajua baada ya dar ni mwanzaKila nikikukamata na uwongo wako unapotea.Bora hata wenzio wanajitahidi kuliko wewe,punguza uwongo.Zile za kinondoni na Salasala nimekuwekea,ukakimbia [emoji3][emoji3].Naingia chimbo sasa hivi nikuumbue tena
Mijengo na pevars zenyewe chafuuMijengo [emoji92]View attachment 2549589
Anaitwa Mh Rais Samia,usiandike jina la Rais wa JMT hovyo ukiwa umeshavuta cha Arusha [emoji3][emoji3]Kumbe hii BOT imezinduliwa juzi na samia..mwanzoni haikuwepo
[emoji1787]
Sasa mtu wa dar hawezi akaja Arusha?! Kuja kutazama na kuona Magari mazuri?Mbna unapost lemutuz mtu wa dar ni mwanahabar online hivo post za hko kwenu arusha
Wewe ingia mzee mjuaji kama mjuaji ngoja nilete mijengo mingineKila nikikukamata na uwongo wako unapotea.Bora hata wenzio wanajitahidi kuliko wewe,punguza uwongo.Zile za kinondoni na Salasala nimekuwekea,ukakimbia [emoji3][emoji3].Naingia chimbo sasa hivi nikuumbue tena
Mbona huo ukweli Mimi siujui nimeanza kujulia huku huku watu wanpotoa mawazo yaoNi asili Yao ujuaji na ulimbukeni ila ukweli wanajua baada ya dar ni mwanza
Jengo lipi iloKuna lile La posta hamn mchanga ajatuma [emoji23][emoji23][emoji23].So relax
Ilo umepost hapo juu [emoji115][emoji23][emoji23]Jengo lipi ilo
Sasa hili ndo jipya likikamilika mbona mtakoma[emoji23]....ila Kuna mengine meng tu yapoIlo umepost hapo juu [emoji115][emoji23][emoji23]
Tutakoma vip wakati mwanza yapo mengi [emoji23]Sasa hili ndo jipya likikamilika mbona mtakoma[emoji23]....ila Kuna mengine meng tu yapo
Kama yapo mengi tuyaone ...mbona wote watu wa Mwanza ni kupost ghorofa ilo mojaTutakoma vip wakati mwanza yapo mengi [emoji23]