KIA itaendelea kutumika na Arusha itaendelea kutumika tuuJe KIA haitatumika, au itakuwa limited kwa ndege za kimataifa tu, me nachojua hicho kiuwanja chenu cha arusha hakitakuwa na maajabu yoyote.
Bunda si wilaya iliyoko mara au
Ndio kumefanyaje hukoIpo mara lakini sio mbali na mwanza
Hayo ni maneno yako sio maneno yetu sisiMwanza inawapa stress, mnajua fiika majiji makubwa Tanzania ni Dar na Mwanza, na statistics zinaonyesha hivyo, sasa mnaolazimisha arusha iwe more than mwanza hatuwaelewi.
Hayo ni maneno yako sio maneno yetu sisi
Ndio kumefanyaje huko
Haijui nazani, hapa Tanzania mbuga kubwa kabisa ni SERENGETI,
Ndio na airport ikikamilika itakuwa kizazi sanaSawa bunda ipo mkoa wa mara lakini haipo mbali na mwanza,
Ndio na airport ikikamilika itakuwa kizazi sana
Near BundesLigaHiii bado ni Nyasaka [emoji95][emoji95][emoji95]
Nakupa na location kabisa ukiwa mwanza mjini panda gari za mzunguko-Nyasaka center[emoji3]View attachment 2549587
Daah bundessLiga hapo Pako fire sana huwez kutaja sehemu za starehe na kumbi ukasahau kutaja bundessLigaNear BundesLiga
Mim na watanzania wengineWewe na nani?
Nimekucheki Pm mwananguDaah bundessLiga hapo Pako fire sana huwez kutaja sehemu za starehe na kumbi ukasahau kutaja bundessLiga
Nani Kakuambia Serengeti ndio mbuga kubwa Tanzania?!Haijui nazani, hapa Tanzania mbuga kubwa kabisa ni SERENGETI,
Project imeanza tayariKwa hawa viongozi wasio na vision sahau mwanza pia tuna master plan ila utekelezaji wake bado ni changamoto
Hii project mbona inaendelea mkuu ..Kwa hawa viongozi wasio na vision sahau mwanza pia tuna master plan ila utekelezaji wake bado ni changamoto
Nipo hapa nimekaaHii project mbona inaendelea mkuu ..
Mi siwezi kudanganya mkuu...sema wabunifu wakibongo Huwa wanafeli sanaNipo hapa nimekaa