Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Tembo ClubIli lisanamu lipo wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tembo ClubIli lisanamu lipo wapi?
Amin Mwamba Yan huku miji kama Arusha ,mwanza tunashindwa hata na miji midogo ya Kenya kama Kisii na Eldoret
Hata ile ya kwanza ni kawaida kabisa.Watu wakiamua kupost za level hiyo mbona ni nyingi sana
Hamna ukweli uwanja wa mwanza uko busy mno ndege nyingi znatua Kila mda tofaut na Arusha usizan mm mgeni ArushaUnaweza ukalinganisha Airport ya Arusha na Mwanza kwa miruko ya ndege?
Mwanza airport kwamwe haiwezi kuifikia Arusha airport katika shughuli za aviation....
Tuzione mkuu
Arusha National park[emoji3059]View attachment 2552768
Uwanja wa Arusha unahitaji taa tuu ili ufanye kazi saa 24, Mwakani itakuwa hivyo... Ndege ni nyingi zinatumia uwanja huuHamna ukweli uwanja wa mwanza uko busy mno ndege nyingi znatua Kila mda tofaut na Arusha usizan mm mgeni Arusha
Uwanja wa mwanza uko bize muda wote boss, pia ukweli Arusha wanatmia uwanja wa KIA nao hauko bize ila mkubwa Kwa ajili ya events TU lakin now mwanza tena unapanuliwa ndege zote afrika mashariki zitatua mwanza maana ni karibu,Uwanja wa Arusha unahitaji taa tuu ili ufanye kazi saa 24, Mwakani itakuwa hivyo... Ndege ni nyingi zinatumia uwanja huu
Haijui nazani, hapa Tanzania mbuga kubwa kabisa ni SERENGETI,Unaijua bunda wewe?
Hii utapita mateves
Tayari mkuuNitmie text pm
Ngoja nikueleweshe... Arusha wana uwanja... Unachagua upande ndege Arusha... Ukijisikia unaweza ukapandia KIA ni dakika 40 kutoka Arusha mjini...Uwanja wa mwanza uko bize muda wote boss, pia ukweli Arusha wanatmia uwanja wa KIA nao hauko bize ila mkubwa Kwa ajili ya events TU lakin now mwanza tena unapanuliwa ndege zote afrika mashariki zitatua mwanza maana ni karibu,
Mwanza pia Kuna hifadhi ya wanyama ipo ndan ya Jiji inaitwa SANANE ISLAND NATIONAL PARK nazan Tanzania ndo mwanza ni Jiji pekee kuwa na mbuga ya wanyama mjini
Bunda si wilaya iliyoko mara auUnaijua bunda wewe?
Hayo mavitu mbona hamleti humu, weka tembo club hapa.Tembo Club
Je KIA haitatumika, au itakuwa limited kwa ndege za kimataifa tu, me nachojua hicho kiuwanja chenu cha arusha hakitakuwa na maajabu yoyote.Uwanja wa Arusha unahitaji taa tuu ili ufanye kazi saa 24, Mwakani itakuwa hivyo... Ndege ni nyingi zinatumia uwanja huu
Ata huku kuna lisanamu la sangara hakuna sehemu yoyote DunianiHaha hivi vitu mtavipata mkiwa Arusha tu ...karibuni jamani View attachment 2553034
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Famasiala niniAta huku kuna lisanamu la sangara hakuna sehemu yoyote Duniani
Hawa vijana wanaleta lisanamu la kichwa la simba wakati Mwanza kuna lisanamu la sangara mzima.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Famasiala nini
Hiyo Haina mvuto kama hiyo nilotuma hapoHawa vijana wanaleta lisanamu la kichwa la simba wakati Mwanza kuna lisanamu la sangara mzima.