Qualitycontrol
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 777
- 498
Hapana ase kama ghorofa ganiBongo maghorofa mengi miundo ya kizamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ase kama ghorofa ganiBongo maghorofa mengi miundo ya kizamani
Maendeleo wanatuzidi mbali sana mkuu na% hayaletwi na watu wanaishi pale Bali yanaletwa na Diaspora ,Wanigeria %kubwa sana wanishi nje ya nchi...Mfano huyu Raisi mpya Wao Alochaguliwa Asiwaju Tinubu anafahamika kabisa kuwa ni drug master mkubwa Hadi anakesi huko marekani za madawa ya kulvya ila still Bado kachaguliwa kuwa RaisAchana na maswala ya rushwa ,cjui vita lakin ukisema maendeleo Nigeria baba wako juu
😂Maendeleo wanatuzidi mbali sana mkuu na% hayaletwi na watu wanaishi pale Bali yanaletwa na Diaspora ,Wanigeria %kubwa sana wanishi nje ya nchi...Mfano huyu Raisi mpya Wao Alochaguliwa Asiwaju Tinubu anafahamika kabisa kuwa ni drug master mkubwa Hadi anakesi huko marekani za madawa ya kulvya ila still Bado kachaguliwa kuwa Rais
Amin Mwamba Yan huku miji kama Arusha ,mwanza tunashindwa hata na miji midogo ya Kenya kama Kisii na Eldoret[emoji23]
Kutokan na kukosa man power kisa uzaz wa mpango leo canada inapokea mtu yoyote kuwa raia wa kuleAsee zipo nyingi Sanaa Canada, Luxembourg, Denmark,sweeden zipo nyingi sana mkuu ..mim naona kila kitu ni strategies tu ...sisi bongo rushwa,upigaji vimetawala..kama Arusha huku Kuna janja janja janja nyingi sana
Mnashindwa nyie na hiyo miji...Amin Mwamba Yan huku miji kama Arusha ,mwanza tunashindwa hata na miji midogo ya Kenya kama Kisii na Eldoret
Huo ndo ukweri
Sasa watu wakule wavivu thus why mkuuKutokan na kukosa man power kisa uzaz wa mpango leo canada inapokea mtu yoyote kuwa raia wa kule
Sasa unadhan ni rahisi lengo kutimia kwa sasa[emoji23]
Unaweza ukalinganisha Airport ya Arusha na Mwanza kwa miruko ya ndege?Hivi bado tu mnaicompare Mwanza na kijimji cha arusha! Airport yenyewe hawana wanakimbilia kia dahh.
Dar
Mwanza
...
...
...
...
Mjadala ufungwe,
NaaamUnaweza ukalinganisha Airport ya Arusha na Mwanza kwa miruko ya ndege?
Mwanza airport kwamwe haiwezi kuifikia Arusha airport katika shughuli za aviation....
Unaweza ukalinganisha Airport ya Arusha na Mwanza kwa miruko ya ndege?
Mwanza airport kwamwe haiwezi kuifikia Arusha airport katika shughuli za aviation....
Kila kitu kipo online tafuta...Weka hapa tuone, au sio ninyi mnakimbilia kupanda KIA?
Kila kitu kipo online tafuta...
Haya Mkuu hii hapaKila kitu kipo online tafuta...
Tumeshamuwekea tayari.Tangu lini Arusha Airport ikaizidi MwanzaTunaomba evidence with facts
Ni kweli kabisa upo sahihi [emoji3]Unaweza ukalinganisha Airport ya Arusha na Mwanza kwa miruko ya ndege?
Mwanza airport kwamwe haiwezi kuifikia Arusha airport katika shughuli za aviation....
Tumeshamuwekea tayari.Tangu lini Arusha Airport ikaizidi Mwanza