Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Na mbuga inayotembelewa sana na watalii ni ngoro ngoro ..sasa kwaiyo kila moja inajipendelea kwa upande wake
Arusha tuna vingi vya kujivunia...ujue pia kuna Arusha National parkArusha ukiitoa ngorongoro hakuna kingine cha kujivunia zaidi ya lile sanamu lenu la simba [emoji1]
Hilo nakubali mbuga ya Serengeti ndio mbuga yenye wanyama wengi ...ila hilo haliondoi kuwa ngoro ngoro ndio sehemu inayotembelewa na watalii au wageni wengi kwa mwaka kushinda mbuga yoyote tanzaniaHebu nitajie mbuga yenye wanyama wengi kama sio serengeti!
Mkuu nyie arusha mpo juu sana ya Mwanza tena juu mnoo, nyie ni jiji la pili kwa ukubwa baada ya Dar na baada ya miaka miwili mtakuwa wa kwanza, orodha yangu ni hiiHilo nakubali mbuga ya Serengeti ndio mbuga yenye wanyama wengi ...ila hilo haliondoi kuwa ngoro ngoro ndio sehemu inayotembelewa na watalii au wageni wengi kwa mwaka kushinda mbuga yoyote tanzania
[emoji1488][emoji1666][emoji1666]Mkuu nyie arusha mpo juu sana ya Mwanza tena juu mnoo, nyie ni jiji la pili kwa ukubwa baada ya Dar na baada ya miaka miwili mtakuwa wa kwanza, orodha yangu ni hii
1. Dar
2.Arusha
3.Dodoma
4.Mbeya
5.Tanga
6.Moshi
7.Iringa
8.Mwanza haifai kuwa hata manispaa.
Ni mawazo yako tuu hakuna kitu kama hiko mkuuHaya mabattle yamekuwa sio ya kujenga wala kuburudisha naona yamejaa chuki, wivu na roho mbaya ambayo baadae yatasababisha ukabila na ukanda.
Arusha ni jiji kubwa sana nipo pamoja na nyie, mmeshapewa hadhi ya kuwa jiji la pili.Ni mawazo yako tuu hakuna kitu kama hiko mkuu
The view of mount MeruArusha ni jiji kubwa sana nipo pamoja na nyie, mmeshapewa hadhi ya kuwa jiji la pili.
Watu wa Mwanza hawataki kushindana na jiji kubwa namba mbili kwa ukubwa.Watu wa Mwanza mbona Mko kimya twawasubiri
[emoji1488][emoji1666][emoji1666]
Saanane Island National Park is a Tanzanian national park in Mwanza. The park is located on an island in Lake Victoria and can be reached by boat from the TANAPA offices on Capri Point in Mwanza town. It is named after the local farmer and fisherman Mzee Saanane Chavandi.Arusha tuna vingi vya kujivunia...ujue pia kuna Arusha National park
Sasa mbona watu hupitia Arusha kwenda SerengetiSaanane Island National Park is a Tanzanian national park in Mwanza. The park is located on an island in Lake Victoria and can be reached by boat from the TANAPA offices on Capri Point in Mwanza town. It is named after the local farmer and fisherman Mzee Saanane Chavandi.
IFAHAMU HIFADHI YA TAIFA YA KISIWA CHA RUBONDO, MOJA YA KIVUTIO CHA UTALII MKOANI MWANZA
IFAHAMU HIFADHI YA TAIFA YA KISIWA CHA RUBONDO, MOJA YA KIVUTIO CHA UTALII MKOANI MWANZA
Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo inapatikana Kusini Magharibi mwa Ziwa Viktoria na umbali wa kilometa 150 kutoka Jiji la Mwanza....tabianchi.blogspot.com
Ziwa Victoria
Mbuga ya serengeti haipo mbali na mwanza
Acha maneno leta pichaHaya mabattle yamekuwa sio ya kujenga wala kuburudisha naona yamejaa chuki, wivu na roho mbaya ambayo baadae yatasababisha ukabila na ukanda.
Kwanza uelewe kwamba serengeti ipo kanda ipi, na umbali wa kutoka Mwanza to serengeti ni kilometres ngapi!. google upate kujua na usiongee kwa kujifurahisha tu mkuuSasa mbona watu hupitia Arusha kwenda Serengeti
Watu wa arusha wamefurahi kuwa jiji la pili naona wametulia kwa amani sasa.
Hapana kwanza ngorongoro now ni national reserve sio national parkNa mbuga inayotembelewa sana na watalii ni ngoro ngoro ..sasa kwaiyo kila moja inajipendelea kwa upande wake