shabanmbarak
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 1,178
- 1,150
Kaitafute uileteSasa takwim haija specify ni Majengo ya aina gani ..Kuna watu wanajenga vibanda nayo pia ni Majengo ....tunataka idadi ya maghorofa
Hiyo nishaijibu kakaHii wataipita shwaaa
Tunahitaj vitu virefu vinavochomoza kama hiviView attachment 2558115
Sioni yakichomoka zaidi ya huku [emoji116]Nakitu ambacho ulikuwa hukijui kipindi Jiwe Yuko madarakani Arusha ujenzi wa maghorofa ulistop kabisa mana jamaa alifungia Acc za wafanyabiashara wengi sana....Sasa tangu Afariki mambo yamerudi yani ni kila siku vitu vinachomoza tuView attachment 2558285
Kama ulihesabu sensa utajua maghorofa aina Ghani yalihesabiwa, pili mwanza ilihujumiwa maghorofa chukua video ya Jiji angalia mwenyewe halafu uje, maaana uwepo wa yule mchaga mtakwimu mkoa naona ana kisasi na mwanza lakin bado haiondoi kuwa ni kubwa na imejengekaSasa takwim haija specify ni Majengo ya aina gani ..Kuna watu wanajenga vibanda nayo pia ni Majengo ....tunataka idadi ya maghorofa
Kwamb ihujumiwe kivipi?! Nyie kataeni mkubali kwa maghorofa hamuwezi ikuta Arusha hata punje....na kwasasa tangu Jiwe Afariki wale watu walikimbia project zao kwa sasa wamerudi...Yani ukija Arusha Mwakani usijeshangaa kukuta ghorofa la 40Flrs Jiwe alitukwamisha sana Wana ArushaKama ulihesabu sensa utajua maghorofa aina Ghani yalihesabiwa, pili mwanza ilihujumiwa maghorofa chukua video ya Jiji angalia mwenyewe halafu uje, maaana uwepo wa yule mchaga mtakwimu mkoa naona ana kisasi na mwanza lakin bado haiondoi kuwa ni kubwa na imejengeka
Arusha gorofa nyingi ndefu ni za mashirika kama ngorongoro,nssf lakini watu binafsi wanaojenga hamuwezi kuwafikia Mwanza!Kwamb ihujumiwe kivipi?! Nyie kataeni mkubali kwa maghorofa hamuwezi ikuta Arusha hata punje....na kwasasa tangu Jiwe Afariki wale watu walikimbia project zao kwa sasa wamerudi...Yani ukija Arusha Mwakani usijeshangaa kukuta ghorofa la 40Flrs Jiwe alitukwamisha sana Wana Arusha
Narua Spring ni ya serikali?,Impala je? , Leopard ni ya serikali? ,parot hotel ni ya serikali? Yote nilokutajia Yana flrs 12,13,14,15 .Arusha gorofa nyingi ndefu ni za mashirika kama ngorongoro,nssf lakini watu binafsi wanaojenga hamuwezi kuwafikia Mwanza!
Picha ziko wapi ili na sisi tuone kama kweli Yana hizo floorNarua Spring ni ya serikali?,Impala je? , Leopard ni ya serikali? ,parot hotel ni ya serikali? Yote nilokutajia Yana flrs 12,13,14,15 .
Tuje Mwanza nitajie Majengo marefu ambayo yamejengwa na watu binafsi
Unyama huo unashushwa[emoji28][emoji92][emoji92]..Arusha ni nyumban kwa Majengo marefu
,,[emoji116]Unyama huo unashushwa[emoji28][emoji92][emoji92]..Arusha ni nyumban kwa Majengo marefuView attachment 2558868
Maunyama haya ...afu mnasema ni ya serikali[emoji28]...Tena Sasaivi yatakuwa mengi sana...mana Jiwe aliwaonea sana wivu matajiri wa Chuga
Unyama ni huu[emoji116][emoji116]Maunyama haya ...afu mnasema ni ya serikali[emoji28]...Tena Sasaivi yatakuwa mengi sana...mana Jiwe aliwaonea sana wivu matajiri wa ChugaView attachment 2558912
Unyama [emoji91][emoji91][emoji91][emoji116]Maunyama haya ...afu mnasema ni ya serikali[emoji28]...Tena Sasaivi yatakuwa mengi sana...mana Jiwe aliwaonea sana wivu matajiri wa ChugaView attachment 2558912
Hicho kijeng [emoji1484]Arusha ni nyumban kwa Majengo marefuUnyama [emoji91][emoji91][emoji91][emoji116]View attachment 2558924
Sent using Jamii Forums mobile app
JPM alikukwamisha wewe una hata msingi wa ghorofa moja au ndiyo story za kijiweni za kukwamishwa wakati hata banda la uani huna.Kwamb ihujumiwe kivipi?! Nyie kataeni mkubali kwa maghorofa hamuwezi ikuta Arusha hata punje....na kwasasa tangu Jiwe Afariki wale watu walikimbia project zao kwa sasa wamerudi...Yani ukija Arusha Mwakani usijeshangaa kukuta ghorofa la 40Flrs Jiwe alitukwamisha sana Wana Arusha
Wewe hapo una utajiri gani hadi ukaonewa,kama ni kina Lasway wa Kibo Palace hizo blah blah zako wala hawazijui na ndiyo matajiri sasa.Kapuku mna midomo ya kuongea wakati mifukoni apeche alolo.Weka majengo usilete pang'ang'a za Magufuli kukuonea.Maunyama haya ...afu mnasema ni ya serikali[emoji28]...Tena Sasaivi yatakuwa mengi sana...mana Jiwe aliwaonea sana wivu matajiri wa ChugaView attachment 2558912
Naona unakirudia rudia [emoji28][emoji28][emoji28]Hicho kijeng [emoji1484]Arusha ni nyumban kwa Majengo marefuView attachment 2558935