Umemsoma huyo jamaa yako hapo juu, ni kama Mwanza inakomeshwa.Kasi Ile Ile iliyotumika elsewhere ndio itatumika na huko Mwanza..
Wachukie Kwa Ajili ya nini? Kilichoondolewa ni upendeleo uliokuwepo .
Ili iwajeUmemsoma huyo jamaa yako hapo juu, ni kama Mwanza inakomeshwa.
Unajua kwann jengo la abiria limesimama na huu ni mwaka wa pili sasa.Ili iwaje
Kwanza mlikuwa mnafanya Ufisadi pale,pili halijasimama Bali linajengwa according ya Bajeti..Unajua kwann jengo la abiria limesimama na huu ni mwaka wa pili sasa.
Airport ya mwanza imeanza kujengwa kuansia mwaka gani? Na je hiyo airport ya songwe ni muhimu kuliko ya Mwanza?Kwanza mlikuwa mnafanya Ufisadi pale,pili halijasimama Bali linajengwa according ya Bajeti..
Airport ya Songwe imejengwa Toka Mkapa ndio inakamilika April mwaka huu mbona hukuwa unauliza?
Kilichoondolewa ni upendeleo uliokuwepo
Ya Mwanza sio muhimu kuliko ya Arusha au DodomaAirport ya mwanza imeanza kujengwa kuansia mwaka gani? Na je hiyo airport ya songwe ni muhimu kuliko ya Mwanza?
Airport ya Songwe ni muhimu kuliko ya mwanza bro acha kuleta ujuajiAirport ya mwanza imeanza kujengwa kuansia mwaka gani? Na je hiyo airport ya songwe ni muhimu kuliko ya Mwanza?
Kutokana na tafiti hii Ingekuwa kipindi Cha Jiwe basi Mwanza ingekuwa ya kwanza...sasa hapa ndo inaonekana dhahiri ukubwa wa Miji bila upendeleo wowote ...wakati wa Jiwe Arusha kulikuwa hamna ujenzi wa mradi wowote wa maana unaendelea matajiri na wawekezaji walikimbia wengine walificha pesa zao..hata Yale magorofa yaliyokuwa yanajengwa yalisimama..baada ya kufa majengo ndo yameanza chomoza tenaUnajua kasi ya ujenzi ya Mwanza kwa sasa? Au umekaa hapo ungalimited ukivuta bangi tu
Arusha kuna umuhimu gani wakati kuna KIA, na hapo Dodoma kuna umuhimu gani wakati kuna JNIA, au Dodoma ndege za kimataifa zitakuwa ni za nchi gani au wageni kutoka wapi au ni wabunge?Ya Mwanza sio muhimu kuliko ya Arusha au Dodoma
Leta facts zio kuongea tu, hapo songwe wanapata abiria wangapi kwa mwaka? Na mwanza ina wangapi?Airport ya Songwe ni muhimu kuliko ya mwanza bro acha kuleta ujuaji
Watalii wanatumia viwanja vyote 2 vya ArushaArusha kuna umuhimu gani wakati kuna KIA, na hapo Dodoma kuna umuhimu gani wakati kuna JNIA, au Dodoma ndege za kimataifa zitakuwa ni za nchi gani au wageni kutoka wapi au ni wabunge?
Ukiona mtu hajiamni na pesa zake huyo alikuwa mwizi, fisadi, mhujumu uchumi n.k, japo hata sisi kipindi cha magufuli ujenzi wa majengo marefu pale cbd ulisimama kabisaa kwa miaka mitano, naona watu wanajenga pia japo mimi sio mwanauchumi sijui kasi hii ni kwasababu gani?Kutokana na tafiti hii Ingekuwa kipindi Cha Jiwe basi Mwanza ingekuwa ya kwanza...sasa hapa ndo inaonekana dhahiri ukubwa wa Miji bila upendeleo wowote ...wakati wa Jiwe Arusha kulikuwa hamna ujenzi wa mradi wowote wa maana unaendelea matajiri na wawekezaji walikimbia wengine walificha pesa zao..hata Yale magorofa yaliyokuwa yanajengwa yalisimama..baada ya kufa majengo ndo yameanza chomoza tenaView attachment 2572176
Na watalii wa kanda ya ziwa wawe wanatumia KIA au JNIAWatalii wanatumia viwanja vyote 2 vya Arusha
Kanda ya Ziwa Kuna Watalii gani?Na watalii wa kanda ya ziwa wawe wanatumia KIA au JNIA
Hii ni hotel wakati mwanza hii ni nyumba ya mtu, Mwanza da rock cityππ
Toa takataka hapa unajiaibishaHii ni hotel wakati mwanza hii ni nyumba ya mtu, Mwanza da rock cityππ
View attachment 2572330
Siwez lala bila kuwapa hii [emoji116]Toa takataka hapa unajiaibisha
WivuπππToa takataka hapa unajiaibisha