Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 826
- 1,622
Watasubir Sana kuwa makao makuu ya nchiKweli zombie upo sahihi
Bangi ni mzuka bobu hasa ukiimix na petrol unakua Zaid ya high unalipuka kabsaHakika unavuta bangi ukiwa uchi na ukiwa umekaa kwenye ungo.
Porojo bila picha ni upuuzi
Site mpya .. ujenzi unaendelea...Kila sehemu View attachment 2572812View attachment 2572813
arusha wanapiga kitu ya superglue hatari sana. tuna vijana w ajabu sanaWatasubir Sana kuwa makao makuu ya nchi
Labda makao makuu ya ubinafsi ukabila ukanda na ushamba na kuvaa vitatu oversize na kubinua binua makalio
Hili ndy jiji la pili la kwanza ni dsm kama hamtakii kweendraaaaView attachment 2572931piView attachment 2572930
picha za 2016 lakini bado ni kali kuliko mihemko ya sunk.
Inamana mwanza nzima ni jengo moja tu mnajivunia nalo?! Mbona Arusha yapo mengi hivo
Unakwama sana kakaVitu kama hivi mwanza mtasubiri sanaView attachment 2573190
Umeficha sana hapa si useme tu GRAN MELIA HOTEL, unajizungusha ili utuambie ni park😂😂😂😂Vitu kama hivi mwanza mtasubiri sanaView attachment 2573190
Na kwa mwanza hi ndo hotel ya kujivuniaView attachment 2573315
Ujenzi mwingine hapo pembeni
Bro mwanza hoteli zipo nyingi Tena zmejengwa ufukweni Kila starehe bro we ulisema unampenda exposure fanya uje tuingie machimbo bro hizi battle lisigeuke bifu kama hyo bwege wa njombeNa kwa mwanza hi ndo hotel ya kujivunia
Pamoja mwamba tupo pamoja wanajitoa ufahamu ukweli wanajua kabisa baada ya dar ni mwanza sema wanafrahisha jf tyuHili ndy jiji la pili la kwanza ni dsm kama hamtakii kweendraaaa
Nimekuambia unakwama hujui chochote kuhusu mwanzaNa kwa mwanza hi ndo hotel ya kujivunia
Kama unataka kuzifahamu hotel za mwanza sema, usichanganye lugha hapa zaidi ya Gran MELIA, kibo palace na mount Meru zingine ni za kawaida sana.Na kwa mwanza hi ndo hotel ya kujivunia