OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Kale kakijiji chao cha ujenzi holela kawawapeleka puta wanaona mji unakuwa kumbe wanazaliana tu nzi huu ushamba walionao wakifika tu dodoma wanachanganyikiwa😂😂😂Kijiji Cha Mwanza kitafika lini Kwa skyline kama hii ya Chuga?
Arusha ni 🔥🔥
Mount Meru[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmesema mnakila kitu. Don't panic bro. Kwan nyie mnamlima gani?
Watu wa mwanza wakishazidiwa wanaishia kutukana tu mkuu. Hii inaonesha ukubwa wao jinsi walivyo washamba.Sema nini humu naona watu mnatukana matusi hii sio fea kabisa ,hii sio vita wandungu wote watanzania ..vile vile watu wanaofatilia humu ni Rika tofauti sio vijana pekee ..tuishi kwa Amani wakuu
Nyie size yenu ni dodoma.. dodoma inawa pumlia kisogoni ,,, Mwanza mtaiwezea wapi [emoji16][emoji16][emoji16]Watu wa mwanza wakishazidiwa wanaishia kutukana tu mkuu. Hii inaonesha ukubwa wao jinsi walivyo washamba.
Kule usukumani wanaongoza kwa uchawi na kutoana kafara, kuua vikongwe na albino bila kusaau kunya ziwani maana wana uhaba wa vyooSana, wameanza kuona maghorofa, magari, wazungu, na vitu vingi sana kabla ya waskuma wa mwanza, sijui bwiru, sijui wapi, ambao bado wanauana kisa mapenzi na uchawi mpaka jana.
Acha kujitoa ufahamu mkuu. Uo mji wenu ata kupangiliwa haujapangiliwa ujenzi holela mji unazunguka ndani ya siku mbili ushamaliza. Shamba city munapenda ligi isiyo maana yeyoteNyie size yenu ni dodoma.. dodoma inawa pumlia kisogoni ,,, Mwanza mtaiwezea wapi [emoji16][emoji16][emoji16]
Naona mnajifariji sana.Kule usukumani wanaongoza kwa uchawi na kutoana kafara, kuua vikongwe na albino bila kusaau kunya ziwani maana wana uhaba wa vyoo
Arusha mjini nazunguka ndani ya dk 10 hiyo cbd nimeshaimaliza yote.Acha kujitoa ufahamu mkuu. Uo mji wenu ata kupangiliwa haujapangiliwa ujenzi holela mji unazunguka ndani ya siku mbili ushamaliza. Shamba city munapenda ligi isiyo maana yeyote
Mkuu usiendelee kuwaumiza hawa shamba city. Tuwape mbinu za kujinasua kwenye lindi la umasikini na uzwazwa uliowatawala . Tuwasaidie wajitambue mkuuWatakwambia wao wanaongoza Kwa Utalii ila huwezi ona hata mtalii mmja akishuka airport Yao 🤪🤪🤪🤪
Mafuriko ya Watalii Arusha 👇
Unajua maana ya ujenzi holela au watu kujenga milimani ni ujenzi holela, na maana ya slums unajua, huko unakosema kuna ujenzi holela kuna huduma zote muhimu, kama mashule, hospitali, sewage system ambayo hakuna hapa EA zaidi ya Mwanza, huko milimani kuna barabara nzuri tu za mawe.Acha kujitoa ufahamu mkuu. Uo mji wenu ata kupangiliwa haujapangiliwa ujenzi holela mji unazunguka ndani ya siku mbili ushamaliza. Shamba city munapenda ligi isiyo maana yeyote
Hakuna faraja zaidi ya kuwaambia ukweli. Uchawi unawarudisha nyuma wasukuma wengi. Acheni uvhawi usio na maana yeyote, tizama hata apa jf, story nyingi za kutoka mwanza ni uchawi tu.Naona mnajifariji sana.
Unaongea sana bila facts kati ya Mwanza na arusha wapi kuna umaskini na wapi kuna utajiriMkuu usiendelee kuwaumiza hawa shamba city. Tuwape mbinu za kujinasua kwenye lindi la umasikini na uzwazwa uliowatawala . Tuwasaidie wajitambue mkuu
Huaba wa choo wakati kuna mifumo ya maji safi na maji taka huko milimani mpaka wakenya walikuja kujifunza.Kule usukumani wanaongoza kwa uchawi na kutoana kafara, kuua vikongwe na albino bila kusaau kunya ziwani maana wana uhaba wa vyoo
Arusha ndani ya mwaka huu au ujao watatoka kwenye nafasi ya tatu, na nafasi yao itachukuliwa na DodomaNyie size yenu ni dodoma.. dodoma inawa pumlia kisogoni ,,, Mwanza mtaiwezea wapi [emoji16][emoji16][emoji16]
Kuna nini hapa cha ajabu mbona unakuwa mshamba na limbukeni sana, hapa na iringa kunatofauti gani.Kijiji Cha Mwanza kitafika lini Kwa skyline kama hii ya Chuga?
Arusha ni 🔥🔥
Nyie ndugu zetu tunajaribu kuwaambia ukweli lakini munakaza mafuvu. Sikatai kujenga kwenye mawe ila kwa pale mwanza kumekaa kama sehemu fulani iliyotelekezwa. Vinyumba kama viboksi Yani, pale ilitakiwa waje wataalam wafanye ujenzi unaoeleweka, mfano hotel za kitalii, ma bar, lakini wamejenga umo masikini watupu siku maafa yakiwafika ndio mitajua kuwa ule ni ujenzi holela.Unajua maana ya ujenzi holela au watu kujenga milimani ni ujenzi holela, na maana ya slums unajua, huko unakosema kuna ujenzi holela kuna huduma zote muhimu, kama mashule, hospitali, sewage system ambayo hakuna hapa EA zaidi ya Mwanza, huko milimani kuna barabara nzuri tu za mawe.
Na huwezi kujenga kwenye mawe kama una hela za kimaskini.
Uchawi unaturudisha nyuma tungekuwa na jiji kubwa kama hili, tungekuwa na dgp kama hii, ambayo arusha mnaingia mara tatu na chenji inabaki.Hakuna faraja zaidi ya kuwaambia ukweli. Uchawi unawarudisha nyuma wasukuma wengi. Acheni uvhawi usio na maana yeyote, tizama hata apa jf, story nyingi za kutoka mwanza ni uchawi tu.
Apo utataka mapicha ya manyumba ndio utajua jinsi gani ninyi ni washamba. Huo ni mpangilio mdogo tu wa jiji.Kuna nini hapa cha ajabu mbona unakuwa mshamba na limbukeni sana, hapa na iringa kunatofauti gani.
Sijawahi kuona picha za arusha nje ya hako ka cbd kenu.Kijiji Cha Mwanza kitafika lini Kwa skyline kama hii ya Chuga?
Arusha ni 🔥🔥
Huo mji bado sana, arusha ziwe nne ndio zinatosha Mwanza jiji.Apo utataka mapicha ya manyumba ndio utajua jinsi gani ninyi ni washamba. Huo ni mpangilio mdogo tu wa jiji.