OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Apo wamewekeza wageni wengi ambao wanatoka sana huku kaskazini, Kama unavyojua sisi ni wapambanaji na popote kwetu ni kambi, ila wazawa wamezidi uchawi aise, tukisema tuondoke tuwaachiye mji wenu, ndani ya miezi sita tu ya mwanzo, mutakuwa kama kibera ya kenya.Uchawi unaturudisha nyuma tungekuwa na jiji kubwa kama hili, tungekuwa na dgp kama hii, ambayo arusha mnaingia mara tatu na chenji inabaki.
Mwanza poa Sana,siipendi tu kwa sababu ipo mbali na Dar es salaam
Leta hotel za arusha tuzione zaidi ya kurudia hotel zenu hizo hizo, kila wakati, arusha mnahotel tatu za maana zingine ni vichuguu vya mchwa.Nyie ndugu zetu tunajaribu kuwaambia ukweli lakini munakaza mafuvu. Sikatai kujenga kwenye mawe ila kwa pale mwanza kumekaa kama sehemu fulani iliyotelekezwa. Vinyumba kama viboksi Yani, pale ilitakiwa waje wataalam wafanye ujenzi unaoeleweka, mfano hotel za kitalii, ma bar, lakini wamejenga umo masikini watupu siku maafa yakiwafika ndio mitajua kuwa ule ni ujenzi holela.
Na hapo ndio mwanza inatake advantage kwa kufanya biashara na miji yote ya kanda ya ziwa, na miji mikubwa kama, kampala, kisumu, kigali, bujumbura na miji ya congo.Sio Dar ndo iko mbali na mwanza
Kuna muwekezaji gani kutoka huko kaskazini akawekeza mwanza, zaidi ya kufungua viduka vya kuuza sukari na mafuta ya kupima mna nini kingine kanda ya ziwa, hii mwanza inajengwa na wazalendo wa mwanza, wasukuma, wakurya na wahaya nje ya hapo ni serikali kwenye baadhi ya miradi.Apo wamewekeza wageni wengi ambao wanatoka sana huku kaskazini, Kama unavyojua sisi ni wapambanaji na popote kwetu ni kambi, ila wazawa wamezidi uchawi aise, tukisema tuondoke tuwaachiye mji wenu, ndani ya miezi sita tu ya mwanzo, mutakuwa kama kibera ya kenya.
Fanya utafiti mkuu. Wachaga wamejazana hapo na wapare wanapiga mzigo ninyi mumeachiwa uvuvi na ufugaji pamoja na kuzaliana tuKuna muwekezaji gani kutoka huko kaskazini akawekeza mwanza, zaidi ya kufungua viduka vya kuuza sukari na mafuta ya kupima mna nini kingine kanda ya ziwa, hii mwanza inajengwa na wazalendo wa mwanza, wasukuma, wakurya na wahaya nje ya hapo ni serikali kwenye baadhi ya miradi.
Ha haha dah wee jamaa bana unasikitisha sana πππLeta hotel za arusha tuzione zaidi ya kurudia hotel zenu hizo hizo, kila wakati, arusha mnahotel tatu za maana zingine ni vichuguu vya mchwa.
Wamejazana wapi kwani wasukuma hawapo maeneneo mengine, kujazana kwenu huku si mnatafuta ridhiki mmeona huko kwenu hakuna kitu, tatizo mnazanana na hamna mikakati ya kueleweka na kutujazia vijumba vya ovyo tu.Fanya utafiti mkuu. Wachaga wamejazana hapo na wapare wanapiga mzigo ninyi mumeachiwa uvuvi na ufugaji pamoja na kuzaliana tu
Acha kujichekesha kama umeona chupi ya pisi kali, nikiambiwa nichague kati ya arusha na lindi, me naenda lindi.Ha haha dah wee jamaa bana unasikitisha sana πππ
Wanapiga mzigo gani? Niambie hotel moja au kiwanda au kitu chochote kikubwa cha mchaga kanda ya ziwa ili nisibishane na weweFanya utafiti mkuu. Wachaga wamejazana hapo na wapare wanapiga mzigo ninyi mumeachiwa uvuvi na ufugaji pamoja na kuzaliana tu
Wanapiga mzigo gani? Niambie hotel moja au kiwanda au kitu chochote kikubwa cha mchaga kanda ya ziwa ili nisibishane na wewe tenaFanya utafiti mkuu. Wachaga wamejazana hapo na wapare wanapiga mzigo ninyi mumeachiwa uvuvi na ufugaji pamoja na kuzaliana tu
Kujifariji ππSijawahi kuona picha za arusha nje ya hako ka cbd kenu.
Mwanza mnacho? Mwanza mna skyline nzuri kama Arusha?Kuna nini hapa cha ajabu mbona unakuwa mshamba na limbukeni sana, hapa na iringa kunatofauti gani.
Wewe mji wako wa njombe ulishakushinda unadandia miji ya watu, pendeni kwenu kwanza.Kujifariji ππ
Njombe imechapa hands down Kahama saizi inashindana na BukobaWewe mji wako wa njombe ulishakushinda unadandia miji ya watu, pendeni kwenu kwanza.
Weka picha ya skyline ya arusha, mji wenye ghorofa mbili katikati ndio ushindane na jiji lililotukuka kama Mwanza.Mwanza mnacho? Mwanza mna skyline nzuri kama Arusha?
Hicho nilichoweka ni matako Yako au?Weka picha ya skyline ya arusha, mji wenye ghorofa mbili katikati ndio ushindane na jiji lililotukuka kama Mwanza.
Nahisi huwa hauna ubongo bali una makamasi kwenye hilo fuvu.Njombe imechapa hands down Kahama saizi inashindana na Bukoba
Itakuwa ni tundu lako ls nyumaHicho nilichoweka ni matako Yako au?
Ha haha mwanza ina hotels 117 wakati Arusha ina hotels 700+ hahaha halafu unavimba kabisa tena hata ujionei huruma ivi unapata wapi ujasiri huu?Acha kujichekesha kama umeona chupi ya pisi kali, nikiambiwa nichague kati ya arusha na lindi, me naenda lindi.