Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Camera yako ni deadlySipajui dot.comView attachment 2598517View attachment 2598524
Buswelu, nyasaka, nyamhongolo haya maeneo ni baba mmoja[emoji91][emoji91][emoji91]Buswelu kwa mbele View attachment 2598536
Ilemela ni balaa tunasubiri lami ya mradi wa tactic, tuzidi kuwanyea dodoma.Buswelu, nyasaka, nyamhongolo haya maeneo ni baba mmoja[emoji91][emoji91][emoji91]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo siti ya mbele ...hapabaada ya salamu picha za kibabe zinakaja mkae mkao wa kula[emoji1787][emoji1787]
Hili bato ni ilemela vs arusha niko tayari kwa vita[emoji123]
Machalii ..mtaishia kuyaona kwenye kideo tu[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 2598706
Huko tushatoka kitambo [emoji116][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 2598706
Wanajenga wapi maana pale pafinyu mno halafu wataongeza vurugu sana za magari plus boda[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 2598706
Wazungu wanaendesha baiskeli kama mazoezi tambua hilo na pia ni jadi...Bora uwe mswahili kuliko mshamba.Halafu watanga sjui baiskeli ni jadi Yao Kuna Mzee anaendesha baiskeli hapa town anaelekea msikitini anapat shida kweli kama ujuavyo jamu ya hapa,,huwa namtania sana.
Na Hawa warabu Koko wanatuharibia miji wanakaa katkati ya Jiji vijumba vya kale vimechoka lakin kuhama wabishi ndo maana TANGA imekaa kama magofu ya kilwa kumbe shida ni Hawa waswahili ππwapo mitaa ya mirongo na rufiji wanaharibu city view ππ
Unyama sana bossMENEJA WA TANROADS MWANZA: TANGU RAIS SAMIA AINGIE MADARAKANI KASI YA UTOAJI FEDHA KUHUDUMIA MIRADI IMEKUWA KUBWA
Na Mwandishi wetu, Sengerema
Tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kuingia madarakani, mabadiliko makubwa yameonekana katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya ujenzi wa miundombinu jambo ambalo limechangiwa na utoaji wa fedha za utekelezaji wa miradi kwa wakati na hivyo kuchangia kasi ya utekekelezaji wa miradi kuongezeka.
Hayo yamesemwa Aprili 23, 2023 mkoani Mwanza na Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi Pascal Ambrose akiongea na waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya ujenzi miundombinu mkoani humo.
Mhandisi Ambrose, akitolea mfano mradi ambao kasi yake ya utekelezaji imeongezeka tangu Rais Samia ingie madarakani ni pamoja na ujenzi wa daraja la Kigongo-Busisi ambapo ujenzi wake aliukuta ukiwa takriban asilimia 25 lakini sasa umefikia asilimia 72.
Akiongelea miradi iliyokamilika ndani ya Mkoa wa Mwanza , Mhandisi Ambrose amesema
"Tumekamilisha mradi wa ujenzi wa barabara ya kutoka Usagara hadi Kisesa KM 17, dhumuni la ujenzi wa barabara hii ilikuwa ni kupunguza msongamano ndani ya jiji la Mwanza"
Miradi mingine ni pamoja na mradi wa usanifu wa barabara ya Mwanangwa-Misasi-Salawe ambayo tayari imeshaanza kutengewa fedha na serikali ili ianze kujengwa kwa kiwango cha lami.
"Barabara ya Mwanza kuelekea Shinyanga tumeshafanyia usanifu wa kina ili kuijenga kwa njia nne kuanzia Mwanza hadi Mwanangwa, na kipande cha kutoka Mwanangwa hadi Shinyanga kitajengwa upya kwa njia mbili"
Akielezea mkakati wa kupunguza msongamano ndani ya jiji la Mwanza , Mhandisi Ambrose amesema
"Kwa ajili ya kuondoa msongamano katika jiji la Mwanza, tumeshaanza usanifu wa barabara ya kutoka Mwanza -Nyanguge kuelekea mpakani na Simiyu. Kipande cha Mwanza-Nyanguge tumekifanyia usanifu kwa ajili ya kujenga njia nne"
Aidha, kwa mwaka huu Mhandisi Ambrose amebainisha kuwa, wanatarajia kufanya usanifu wa kina wa barabara ya kutoka Usagara hadi mpakani mwa Geita ili iendane na upana wa daraja la Kigongo-Busisi
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππWazungu wanaendesha baiskeli kama mazoezi tambua hilo na pia ni jadi...Bora uwe mswahili kuliko mshamba.
Hii sio tijaa snaa mana kila mkoa lazim utakuwa na hivi vitu stand,uwanja wa Ndege ..sisi tunataka project mbali mbaliHuko tushatoka kitambo [emoji116]View attachment 2598806View attachment 2598807
Sent using Jamii Forums mobile app
Panajengwa Maeneo ya Bonden cityWanajenga wapi maana pale pafinyu mno halafu wataongeza vurugu sana za magari plus boda
Hujielewagi sometimes, the sunk.Harafu anatoka Mwanakijiji huko Nyehunge anakuja kulinganisha Arusha na mwalo wa Mwanza π€£π€£
Chuga is on π₯π₯
Karibu na dereva hapa nasubiri moto uwake.
Porojo hizo Toka 2015 ππMENEJA WA TANROADS MWANZA: TANGU RAIS SAMIA AINGIE MADARAKANI KASI YA UTOAJI FEDHA KUHUDUMIA MIRADI IMEKUWA KUBWA
Na Mwandishi wetu, Sengerema
Tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kuingia madarakani, mabadiliko makubwa yameonekana katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya ujenzi wa miundombinu jambo ambalo limechangiwa na utoaji wa fedha za utekelezaji wa miradi kwa wakati na hivyo kuchangia kasi ya utekekelezaji wa miradi kuongezeka.
Hayo yamesemwa Aprili 23, 2023 mkoani Mwanza na Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi Pascal Ambrose akiongea na waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya ujenzi miundombinu mkoani humo.
Mhandisi Ambrose, akitolea mfano mradi ambao kasi yake ya utekelezaji imeongezeka tangu Rais Samia ingie madarakani ni pamoja na ujenzi wa daraja la Kigongo-Busisi ambapo ujenzi wake aliukuta ukiwa takriban asilimia 25 lakini sasa umefikia asilimia 72.
Akiongelea miradi iliyokamilika ndani ya Mkoa wa Mwanza , Mhandisi Ambrose amesema
"Tumekamilisha mradi wa ujenzi wa barabara ya kutoka Usagara hadi Kisesa KM 17, dhumuni la ujenzi wa barabara hii ilikuwa ni kupunguza msongamano ndani ya jiji la Mwanza"
Miradi mingine ni pamoja na mradi wa usanifu wa barabara ya Mwanangwa-Misasi-Salawe ambayo tayari imeshaanza kutengewa fedha na serikali ili ianze kujengwa kwa kiwango cha lami.
"Barabara ya Mwanza kuelekea Shinyanga tumeshafanyia usanifu wa kina ili kuijenga kwa njia nne kuanzia Mwanza hadi Mwanangwa, na kipande cha kutoka Mwanangwa hadi Shinyanga kitajengwa upya kwa njia mbili"
Akielezea mkakati wa kupunguza msongamano ndani ya jiji la Mwanza , Mhandisi Ambrose amesema
"Kwa ajili ya kuondoa msongamano katika jiji la Mwanza, tumeshaanza usanifu wa barabara ya kutoka Mwanza -Nyanguge kuelekea mpakani na Simiyu. Kipande cha Mwanza-Nyanguge tumekifanyia usanifu kwa ajili ya kujenga njia nne"
Aidha, kwa mwaka huu Mhandisi Ambrose amebainisha kuwa, wanatarajia kufanya usanifu wa kina wa barabara ya kutoka Usagara hadi mpakani mwa Geita ili iendane na upana wa daraja la Kigongo-Busisi
Sent using Jamii Forums mobile app