Bajeti ya hovyo kuliko zote.. mbarawa hafai kuwa waziriKONK MASTER Kitombile kwakweli inahitajika utawala wa majimbo ,Yani kwamba Arusha ,Mwanza ,mbeya hizi project hazihitajiki au mana kila kitu ni dar tu ....flyovers zote na Bado awatoshekiView attachment 2631684
Kwanin hafai mzee, naon mawaziri wote mapendekezo yao ni dar tu
Hapo hamna waziri mzee ....hv unaachaje kujenga barabara za kisasa makao makuu ya Africa mashariki wageni wanafika pale au Mwanza hub ya biashara maziwa makuu watu wengi wanafika pale. unakaria kujenga dar pekee ... stupid bajetiKwanin hafai mzee, naon mawaziri wote mapendekezo yao ni dar tu
Jengo lenyewe baya halina mwonekano mzuri ila finishing yake nzur.
Wivu,hili ni jengo baya kweli?Jengo lenyewe baya halina mwonekano mzuri ila finishing yake nzur.
Sas icho kijengo kinauzur gani linazidiwa uzur n hospital ya bugando. Kagorofa kabayaaWivu,hili ni jengo baya kweli?
Mm ndugu yangu siku hizi nmeamua kukaa na kutulia TU kuangalia mambo ya hovyo nchini Kuna masoko dar ya mabilioni ila hayana watu na bado wanajengewa TU tena complex kubwa wakat huo majiji mengine hatuna, sisi hapa mwanza Kuna maeneo tunavuka Barabara roho mkononi yaan unasubil muwe group ndo mnavuka kama kondoo lakin at interchange TU kujengewa hawafikiriii kabisa,, bro solution ni serikali ya majimbo TU lakin nani atatusemeaa,,binafsi ata Hawa chadema wangekuwa wanahimiza hili la majimbo ningewaunga mkonoKONK MASTER Kitombile kwakweli inahitajika utawala wa majimbo ,Yani kwamba Arusha ,Mwanza ,mbeya hizi project hazihitajiki au mana kila kitu ni dar tu ....flyovers zote na Bado awatoshekiView attachment 2631684
Arusha haiwezi kuwa na huu usawaziKatikati ya jiji la ArushaππView attachment 2633398
Unabisha ππππ sasa hapo ni wapi? Au ni matombo kule morogoro.Arusha haiwezi kuwa na huu usawazi
Ulishafik ungalimited, sanawari, ngaramtoni n.k, na hiyo picha imepigwa kwenye ilo jengo leno mnalopost kila muda muda humuππππArusha haiwezi kuwa na huu usawazi
Hapo ni Mianzini karbu na chuo cha ATC! Nimetoka kitambo sana lakini hapajabadilika kabisa!Katikati ya jiji la ArushaππView attachment 2633398
Unabisha ππππ sasa hapo ni wapi? Au ni matombo kule morogoro.
Mahina[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
ππππππ Pigeni sarakasi tuuUlishafik ungalimited, sanawari, ngaramtoni n.k, na hiyo picha imepigwa kwenye ilo jengo leno mnalopost kila muda muda humuππππ