Whatsapp meHizi barabara za mitaani zinatakiwa nyingi View attachment 2633616
Jembe langu tatizo barabara zinatuangusha sana, lakini mambo🔥🔥🔥Leo katika pita pita yangu nimetembelea kata ya mahina na baadhi ya mitaa yake[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]View attachment 2633610View attachment 2633611View attachment 2633612View attachment 2633613View attachment 2633614View attachment 2633615
Mahina barabara ni changamoto ila kule ni moto wa kuotea mbali next time nitakuja na picha za kutoshaJembe langu tatizo barabara zinatuangusha sana, lakini mambo[emoji91][emoji91][emoji91]
Hapa ni nje kidog ya CBD brotherKatikati ya jiji la Arusha👇👇View attachment 2633398
Hivi kwa Arusha vitu vya kawaidaLeo katika pita pita yangu nimetembelea kata ya mahina na baadhi ya mitaa yake[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]View attachment 2633610View attachment 2633611View attachment 2633612View attachment 2633613View attachment 2633614View attachment 2633615
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio arusha tu hadi sumbawanga kuna mijengo kama hio, hapa tunaangalia quantityHivi kwa Arusha vitu vya kawaida
Hi kweli hizi nyumb za kawaida sana ase, hata huku unga ltd mchanganyikeni zipo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio arusha tu hadi sumbawanga kuna mijengo kama hio, hapa tunaangalia quantity
Kuna ndugu yako nilimtumia hiii picha akasema hata katavi kuna nyumba kama hizo[emoji3] nilimuona mjinga View attachment 2633705
Tatizo point yangu haujaielewa!!Hi kweli hizi nyumb za kawaida sana ase, hata huku unga ltd mchanganyikeni zipo
Huo ushauri upeleke dodomaLeo nimeangalia Drone footage ya mwanza .Alichosema ChoiceVariable ni kweli Mwanza sehemu nyingi ni slum ...Yan Jiji halina miti ase ,Wakazi wa Mwanza em jaribuni kupanda miti hata Jiji livutie mnataka kuwa kama dodoma
[emoji3][emoji3] umeangalia ya sehemu gani? Hauwezi ukapata picha ya mwanza yote kwenye picha moja neverLeo nimeangalia Drone footage ya mwanza .Alichosema ChoiceVariable ni kweli Mwanza sehemu nyingi ni slum ...Yan Jiji halina miti ase ,Wakazi wa Mwanza em jaribuni kupanda miti hata Jiji livutie mnataka kuwa kama dodoma
[emoji3][emoji3][emoji3] kwenye hio drone footage yako haya maeneo uliyaona?Leo nimeangalia Drone footage ya mwanza .Alichosema ChoiceVariable ni kweli Mwanza sehemu nyingi ni slum ...Yan Jiji halina miti ase ,Wakazi wa Mwanza em jaribuni kupanda miti hata Jiji livutie mnataka kuwa kama dodoma
Hapo ni Phillips naona ghorofa ilipo Sky Lounge... kumbe hata Arusha huijui unabishana tu...Arusha haiwezi kuwa na huu usawazi
Phillips ni nje...?! wakati lile ghorofa refu lipo karibu lile ghorofa la PAPU( Pan African Postal Union)Hapa ni nje kidog ya CBD brother
Naaam ni njePhillips ni nje...?! wakati lile ghorofa refu lipo karibu lile ghorofa la PAPU( Pan African Postal Union)
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Sasa hapo ni mianzini?Hapo ni Phillips naona ghorofa ilipo Sky Lounge... kumbe hata Arusha huijui unabishana tu...
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Nani kasema ni Mianzini...?!Sasa hapo ni mianzini?