Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Juzi wameambiwa wafanyabiashara wa mahoteli na bar mwanza wanavihere kuandamana kuliko wa mikoa iliyowazidi kama arusha na dodoma. Kwa hotel zipi waliulizwa?! 🀣
 
Mbumbumbu mwingine huyu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ametumia methodology zipi .. sampling yake ni kina nani ,,,,
Conclusion ya research kwenye haikupaswa kuwa na exact number Kwa sababu researcher hajakusanya takwimu za madoctor na maprofessor ,,kama alichagua sample alipaswa aillustrate results zake kwenye percentage na sio number.otherwise ni uongo
 
Kwani Mimi ndio nimetoa hiyo taarifa? Prof.gani msukuma unaemfahamu? Nitajie
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wewe jamaa unahangaikaga sana na inferiority juu ya Wasukuma hutaki kabisa wawazidi kwa chochote!
Process Mahalu wa SAUT
Process! Mihayo wa Bodi ya Utalii! Bila shaka hao wanakutosha kwa leo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…