Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Tukia kijana rudi kule kwenye uzi wako wa mbeya sio jiji ukatoe elimu kwa wana mbeya wenzako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unatia aibu,hivi Kuna u [emoji91][emoji91] gani hapa? [emoji16][emoji16]
Unaleta picha za old Mwanjelwa ππTukia kijana rudi kule kwenye uzi wako wa mbeya sio jiji ukatoe elimu kwa wana mbeya wenzako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2659461
Wivu utakuua wewe kada masikini [emoji3][emoji3]Unaleta picha za old Mwanjelwa [emoji38][emoji38]
Ona Mwanza huku ni Airport background kumejaa mabanda na ma slums everywhere where [emoji2957][emoji12]
Wivu gani,Mwanza ni hovyo na slum Mji mzima,Mbeya Haina huo ujinga slums ni kwenye specific areas.Wivu utakuua wewe kada masikini [emoji3][emoji3]
Kumbe kweli hapo ni mbeya sio kwa vumbi hilo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
MAOMBI yangu chumbani Kila siku nafasi ya AFCON tusipate....na tusipate.....hivi mbeya na Mwanza ni za kukosa nafasi AFCON..
And Geneva is not as good as Venice [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwanza ni pazuri, lakini Arusha ni pazuri zaidi.
Bill Clinton alipaita Geneva of Africa.
Hakuna investor atakuja kuwekeza pesa zake kwenye huo ujinga na wewe,itaishia kuwa Gusest.ChoiceVariable Mikdde Kitombile [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1484][emoji1484][emoji1484]View attachment 2662163
Hakuna investor atakuja kuwekeza pesa zake kwenye huo ujinga na wewe,itaishia kuwa Gusest.
Naona una wivu na hilo dude sasa ngoja nikuambie, hilo dude haliendelezwi na serikali kwasasa limepata investor mkubwa sana na mwenye uzoefu wa kuendesha hotel kubwa za nyota tano, pia hilo jengo litaenda sambamba na ufunguzi wa Mwanza international airport, tuna imani hiyo hotel itafanya kazi vizuri na itapata wateja na watalii kutoka sehemu mbalimbali.....Hakuna investor atakuja kuwekeza pesa zake kwenye huo ujinga na wewe,itaishia kuwa Gusest.
Hana jina? π€ͺπ€ͺNaona una wivu na hilo dude sasa ngoja nikuambie, hilo dude haliendelezwi na serikali kwasasa limepata investor mkubwa sana na mwenye uzoefu wa kuendesha hotel kubwa za nyota tano, pia hilo jengo litaenda sambamba na ufunguzi wa Mwanza international airport, tuna imani hiyo hotel itafanya kazi vizuri na itapata wateja na watalii kutoka sehemu mbalimbali.....
Ndio si naonaaQuality Control unasema mwanza ndogo hivi uko serious au any way ngoja nisiongee sana maana hujafika mwanza na kama ulishafika bas ni 2007
Ile kitu kutoka Arusha mutu ya Mwanza Huwa haipendi kuona π₯π₯Endelea kujifariji.. international brand Tatu zishaomba tender
Msikilize mkurugenzi
Kapo vizuri lakini kamezungukwa na mazizi ya mbuziπππIle kitu kutoka Arusha mutu ya Mwanza Huwa haipendi kuona π₯π₯View attachment 2667096View attachment 2667097View attachment 2667098View attachment 2667099