Kama bangi kali duniani inapatikana Arusha ndio maana hawa watu wa huko kidogo huwa ni dk mbili mbele, au waswahili wanasema dishi limeyumba.... Ndio maana maadhimisho ya kupambana na madawa ya kulevya yamefanyia huko..... Machalii hawakawii kuja na picha za nyumba za matope na kukuambia haya ni mabangalow makali kuliko maghorofa ya Mwanza.
Hahaaa!! Mwanza ni kubwa kuliko Arusha, labda uzungumzie vingineMwanza ndogo sana Yan picha moja unaona mji mzima
Hiyo ni Manispaa ya Ilemela!!Unaleta picha za old Mwanjelwa 😆😆
Ona Mwanza huku ni Airport background kumejaa mabanda na ma slums everywhere where 🤪😜
Kwani Iko Geita? Na hii ni wapi? 👇Hiyo ni Manispaa ya Ilemela!!
Arusha Ina magorofa mara 3 ya Mwanza Sasa wewe hizo porojo za kujifariji unazitoa wapi?Kimsingi Arusha ni vijighorofa vya kutarget watalii tu. Hakuna jipya la kusema wanatisha, Mwanza project zake zinapigwa sehemu mbali mbali. Makampuni ndo yanawekeza, lakini ubora wa sehemu haupimwi kwa majengo tu. Mwanza miundo mbinu ya miradi mkakati ni hatari, stand zake, airport, soko kuu, rock cty mall, daraja la busisi, SGR n.k vitakuja kuwatoa watu ulimi hasa wavuta ganja wa Arusha. Tunakaribia kuilisha Uganda kwa njia ya barabara na dunia kwa njia ya anga
Hahaaa!!! Ghorofa siyo maendeleo, angalia miradi ya kimkakati, nyumba inaweza isiwe ghorofa ila ikawa kali kuliko ghorofaArusha Ina magorofa mara 3 ya Mwanza Sasa wewe hizo porojo za kujifariji unazitoa wapi?
Hiyo ni mwanza jijiKwani Iko Geita? Na hii ni wapi? 👇View attachment 2670675
Watu wanajenga nyumba zisizo za ghorofa kama mahekalu we unazuzuka na ghorofa tu. Idadi ya majengo Mwanza iko kuuule na hakuna za udongo kama za wamasai.Arusha Ina magorofa mara 3 ya Mwanza Sasa wewe hizo porojo za kujifariji unazitoa wapi?
After dar ni mwanza!! Ghorofa siyo kipimo cha ukali, nyumba isiyo ya ghorofa inaweza kugharimu pesa mingi kuliko ghorofa. Angalia takwimu hizo za uchangiaji pato la taifa. Hatusubiri royal tour ndo tuchangie pato la taifaKumekuwa na sintofahamu kati ya Majiji haya mawaili yanatotikisa Tanzania ukiachilia Dar.
Majiji haya yamezua gumzo miongoni mwa watu kwa kujaribu kuyashindanisha lakini pamoja na kuyashindanisha kote bado watu hawajapata jibu la moja kwa moja kwamba ni mji gani mzuri na una fursa kubwa za kimaisha kuliko mwingine pamoja na ukuaji wa maendeleo.
Karibuni mchangie
Swafi kabisa. Mwanza haisubiri matunda ya royal tour kutusua, washikaji wanadhani idadi ya maghorofa ndo kuwa juu. Hawajui kwamba unaweza kufika nyumba x isiyo ya ghorofa ila unaisho kama uko peponi. Hadi ujenzi unaoendelea kwa takwimu za 2022 mwanza ni kinara kumpiku hadi dsm.Hata kwenye ushindani kati ya NBI na DSM, pia Wakenya hupenda kuweka Mombasa na Mwanza kwani ni miji inayokaribiana, ingawa Mombasa inazidi kidogo Mwanza. Ukweli ni kwamba kwa kila mizania, Mwanza iko juu ya Arusha. Kwa hali ya hewa Arusha ni green city. Hata hivyo Mwanza ni kubwa, Mwanza ina population kubwa na kiuchumi Mwanza iko juu ya Arusha(angalau kwa sasa)
Gorofa inaonyesha una pesa Sasa hizo za Kawaida hata Namanyere nanyamba tandahimba kote zipoWatu wanajenga nyumba zisizo za ghorofa kama mahekalu we unazuzuka na ghorofa tu. Idadi ya majengo Mwanza iko kuuule na hakuna za udongo kama za wamasai.
Bila gorofa huo sio Mji Bali Kijiji.cha ujamaaHahaaa!!! Ghorofa siyo maendeleo, angalia miradi ya kimkakati, nyumba inaweza isiwe ghorofa ila ikawa kali kuliko ghorofa
Jifunze ku attach pichaHili soko litakuja kuilisha kanda ya ziwa yooote ndo inakuwa kariakoo ya kanda ya ziwe.
Kwamb Rock City Mall mpka Leo mnajisifia nayo?!Kipind Rock City Mall inazinduliwa Arusha kulikuw hamna mall hata moja ..Leo hii Arusha Kuna Aim mall ,Kuna Arusha mall ,Mwanza Bado mmebaki kujisifia na mall moja alafu mnasema eti private sector nyingi zipo huko nonsense!Kimsingi Arusha ni vijighorofa vya kutarget watalii tu. Hakuna jipya la kusema wanatisha, Mwanza project zake zinapigwa sehemu mbali mbali. Makampuni ndo yanawekeza, lakini ubora wa sehemu haupimwi kwa majengo tu. Mwanza miundo mbinu ya miradi mkakati ni hatari, stand zake, airport, soko kuu, rock cty mall, daraja la busisi, SGR n.k vitakuja kuwatoa watu ulimi hasa wavuta ganja wa Arusha. Tunakaribia kuilisha Uganda kwa njia ya barabara na dunia kwa njia ya anga
Em acha uzwa uzwa wewe unadhani kirahisi rahisi tuHili soko litakuja kuilisha kanda ya ziwa yooote ndo inakuwa kariakoo ya kanda ya ziwe.
Kuna hali ya hewa inyoitwa green city?! Kwanza Mwanza yenywe kame sioni miti ..Yani Jiji limekauka watu wanajificha milimani tuHata kwenye ushindani kati ya NBI na DSM, pia Wakenya hupenda kuweka Mombasa na Mwanza kwani ni miji inayokaribiana, ingawa Mombasa inazidi kidogo Mwanza. Ukweli ni kwamba kwa kila mizania, Mwanza iko juu ya Arusha. Kwa hali ya hewa Arusha ni green city. Hata hivyo Mwanza ni kubwa, Mwanza ina population kubwa na kiuchumi Mwanza iko juu ya Arusha(angalau kwa sasa)