Yani wasukuma washamba sana ,wamekuja ofisini kwangu kununua bidhaa then wanaongea kisukuma
Wamenunua mkuu ila wameshauriana sana kwa kisukuma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si wana hela! Tatizo ni kuongea kisukuma! Vipi wamenunua?
Hahaha ulikuwa unawaangalia tu! Hawanaga noma na mtu!Wamenunua mkuu ila wameshauriana sana kwa kisukuma[emoji23]
Mwanza mumeachwa mbali sana na Arusha kwenye swala la miradi ya uwekezaji, yaani Kila sehemu mnapigwa za uso ππBaada ya Jana kupigwa za uso .. admin kaaamua kuwafariji [emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi kazi yangu ni kukupa spana tuuNaweza nikakuuliza hapa ni wapi ukashindwa kujibu, Arusha huijui...
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kipi Cha maana hapoMimi kazi yangu ni kukupa spana tuu
Arusha is booming View attachment 2675014View attachment 2675015View attachment 2675016View attachment 2675017View attachment 2675019
Baseless argument.....Mwanza mumeachwa mbali sana na Arusha kwenye swala la miradi ya uwekezaji, yaani Kila sehemu mnapigwa za uso [emoji38][emoji38]View attachment 2675002
Arusha miradi 3
Mwanza 0
Mwanza mumeachwa mbali sana na Arusha kwenye swala la miradi ya uwekezaji, yaani Kila sehemu mnapigwa za uso [emoji38][emoji38]View attachment 2675002
Arusha miradi 3
Mwanza 0
Hahah alafu walivo washamba wanasema Mwanza inajengwa na private sector..kumbe hata Chuga private sector tumewakimbizaMwanza mumeachwa mbali sana na Arusha kwenye swala la miradi ya uwekezaji, yaani Kila sehemu mnapigwa za uso [emoji38][emoji38]View attachment 2675002
Arusha miradi 3
Mwanza 0
Hivi wewe Huwa unawaamini wale,hamna kitu kule Huwa wanajifariji tuuHahah alafu walivo washamba wanasema Mwanza inajengwa na private sector..kumbe hata Chuga private sector tumewakimbiza
Kwamba hizo figure zimetoka za private sector... look at this mad [emoji15][emoji15][emoji15]Hahah alafu walivo washamba wanasema Mwanza inajengwa na private sector..kumbe hata Chuga private sector tumewakimbiza
Ila GDP ni 12T kwa 7T [emoji23][emoji23]Mwanza mumeachwa mbali sana na Arusha kwenye swala la miradi ya uwekezaji, yaani Kila sehemu mnapigwa za uso [emoji38][emoji38]View attachment 2675002
Arusha miradi 3
Mwanza 0
unanipaje spana we unayeokota picha mtandaoni na mimi ninaojua maeneo yote ya Arusha na Mwanza nje ndani...Mimi kazi yangu ni kukupa spana tuu
Arusha is booming View attachment 2675014View attachment 2675015View attachment 2675016View attachment 2675017View attachment 2675019
Gap ndio inafungwa hivyo mdogo mdogo π€£π€£Ila GDP ni 12T kwa 7T [emoji23][emoji23]
Kwa hiyo hizi ni za public sector au? πππKwamba hizo figure zimetoka za private sector... look at this mad [emoji15][emoji15][emoji15]
Arusha haijawahi tuangisha,Huwa inatuwakilisha vyema sana kule balltle ya Wakenya, wenyewe wanakimbia.Nawasalimia kwa jina la Arusha [emoji4][emoji4]View attachment 2675257View attachment 2675258View attachment 2675259
Ndo hivyo Hadi mashamba ya kahawa ,,,,[emoji16][emoji16][emoji16].....Kwa hiyo hizi ni za public sector au? [emoji38][emoji38][emoji38]
Diwani wa mkolani vipi mbona fyuzi zinacheza?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] leo arusha imeiweka ligi moja na capripoint+postaCompare and contrast
Arusha SkylineView attachment 2675329
Vs
Mwanza Skyline View attachment 2675332View attachment 2675333